nimesoma majibu ya watu wengi, wengi wameonesha udini, lakini muulizaji hajalenga kwenye udini, sioni sababu ya kuambiwa watu wamekimbia umande, sioni sababu ya kusema muulizaji kaenda madrasa, labda nikufahamisheni kitu kimoja, madrsa imeanza kufundisha ngozi ina sense organs miaka elfu moja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.