Recent content by Mjomba side

  1. Mjomba side

    Maswali kwa CHADEMA kuhusu tukio la kutekwa na kuuawa Mzee Ali Mohammed Kibao

    Hoja zijibiwe kwa hoja, naona wanaCHADEMA mnatoka nje ya mada
  2. Mjomba side

    Maswali kwa CHADEMA kuhusu tukio la kutekwa na kuuawa Mzee Ali Mohammed Kibao

    Hakuna kifo kinachofurahisha, ila mbaya zaidi, waliomua ni wale waliokuwa wapo nae Kila siku. Inauma sana, kuwa kwenye chama Cha kiuuaji kabisa. Inauma sana
  3. Mjomba side

    Maswali kwa CHADEMA kuhusu tukio la kutekwa na kuuawa Mzee Ali Mohammed Kibao

    1. Nani aliyeshuhudia ndugu yenu kuwa alipanda gari la kwenda Tanga? 2. Nani alishuhudia alishushwa ndani ya basi hilo Kibo complex? 3. Nani alishuhudia bus lenye namba za usajili zilizotajwa kuwa ndilo bus alilopanda? 4. Nani aliyegundua waliokuja kumteka ni Usalama wa Taifa au Polisi? 5...
  4. Mjomba side

    PreGE2025 Kutokana na tofauti za uongozi ndani ya CHADEMA, inawezekana kuna mtu kati yao anahusika na matukio ya utekaji?

    Haiwezekani katibu wa CHADEMA atangaze Leo mtu kapotea kesho yake apatikane amefariki. Kuna kitu kinaendelea ndani ya CHADEMA si bure. Nashauru serikali ikichunguze hiki chama.
Back
Top Bottom