Recent content by MJ18

  1. MJ18

    Mashine ya kukamua mafuta ya alizeti, mnyonyo, n.k inauzwa

    As you can see. I hope umeelewa mkuu, and karibu tufanye biashara
  2. MJ18

    Mashine ya kukamua mafuta ya alizeti, mnyonyo, n.k inauzwa

    You dont have to say 'ujanja ujanja' thing mkuu. Sikuwahi kuipiga picha vizuri tangu imefika, na picha ya vipande, nkatumia hizo wakati nachagua.
  3. MJ18

    Mashine ya kukamua mafuta ya alizeti, mnyonyo, n.k inauzwa

    Iko na mota yes, i will share the pic nikienda site. Ila hiyo ndo picha wakati nachagua machine. Sikuwahi kuipiga picha ilipofika ndo maana nimetumia hizo picha.
  4. MJ18

    Mashine ya kukamua mafuta ya alizeti, mnyonyo, n.k inauzwa

    Sielewi kwann hazionekani. Najaribu kutuma tena
  5. MJ18

    INAUZWA Mashine ya kukamua alizeti, nyonyo, nk inauzwa

    Habari wanaJamvi, Nauza mashine yangu ya kukamua mbegu zenye mafuta. Ina uwezo wa kukamua alizeti, nyonyo, karanga, nk. Inatumia umeme wa 3 phase model ggzx-80. Technical details za mashine zipo kwny picha hizi chini. Mashine ipo Goba Mpakani, DSM. Kwa maelezo zaidi nipigie 0684910695. Bei ni...
  6. MJ18

    Mashine ya kukamua mafuta ya alizeti, mnyonyo, n.k inauzwa

    Habari wanaJamvi, Nauza mashine yangu ya kukamua mbegu zenye mafuta. Ina uwezo wa kukamua alizeti, nyonyo, karanga, nk. Inatumia umeme wa 3 phase model ggzx-80. Technical details za mashine zipo kwny picha hizi chini. Mashine ipo Goba Mpakani, DSM. Kwa maelezo zaidi nipigie 0684910695. Bei ni...
  7. MJ18

    Mfahamu T.O Kihombo 2006 aliyepata Degree yake ya Kwanza baada ya Miaka 11

    Karibuni Elimutube App Elimutube ni jukwaa ambalo utapata fursa ya kusoma kupitia notes na videos kutoka kwa walimu mahiri, wanaoaminika, na wenye uzoefu mkubwa Tanzania kuanzia kidato cha kwanza hadi kidato cha sita. Kutana na walimu mahiri kama Sir Kiteddy (Adv. Maths), Eng. Challange (Adv...
  8. MJ18

    SOFTWARE Karibu ELIMUTUBE App

    Asante sana mkuu, karibu sana utumie app yetu.
  9. MJ18

    SOFTWARE Karibu ELIMUTUBE App

    Sir Mgonja aka Mr Possibilities
  10. MJ18

    SOFTWARE Karibu ELIMUTUBE App

    Shukrani sana mkuu
  11. MJ18

    SOFTWARE Karibu ELIMUTUBE App

    Elimutube ni jukwaa ambalo utapata fursa ya kusoma kupitia notes na videos kutoka kwa walimu mahiri, wanaoaminika, na wenye uzoefu mkubwa Tanzania kuanzia kidato cha kwanza hadi kidato cha sita. Kutana na walimu mahiri kama Sir Kiteddy (Adv. Maths), Eng. Challange (Adv. Physics), Mr. Sabu (Adv...
  12. MJ18

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Hyo a10s ina specs zipi? RAM? Storage? Sent using Jamii Forums mobile app
  13. MJ18

    INAUZWA Saamsung Galaxy Note 5 Inauzwa

    Simu bado mpyaa kwa 300k tu (fixed). Ina RAM 4GB, Storage 32GB, na ina fingerprints. Nichek watsapp 0659426390 tufanye biashara
Back
Top Bottom