Hilo suala la kufanya maandalizi ya uzee wako ni sehemu mojawapo mhimu katika kujipenda au kujiweka wewe kwanza kabla ya mtu mwingine yoyote no matter who he or she is
Maendeleo siyo vitu pekee. Kuna maendeleo nje ya pesa na mali za kidunia.
Vitu kama AMANI, UTULIVU, KURIDHIKA, KUSAIDIA, KUTUMAINI, KUPENDANA, KUJIPENDA, KUJALIANA NA KUHURUMIANA ni maendeleo pia.
Mkuu hiyo ni kazi rahisi sana, it is seriously simple, mtoto wa darasa la tano anayejua kiingereza anaweza kufanya kazi hii nikimwelekeza
Kwa bahati mbaya mimi natakiwa kupumzika sasa kama wiki 2 hivi sitakuwa online ningekusaidia hatua kwa hatua.
Nilimwambia mimi mapema tu kuwa siku hizi mambo ni simple kama kumsukuma mlevi na Nafahamu hili zaidi ya miaka 7 au 8 sasa kwamba developers are no longer necessary
Ila humu mara kadhaa siyo leo tu watu wanapenda kucomplicate vitu vya kawaida vionekane vikubwa
Tuwaache tu waendelee kupigwa...
System ya nini hasa mkuu
Kama ni website zipo ready made templates unachofanya ni customization tu na haigharimu hata 10000 ni muda wako tu
Kwa sasa gharama ipo kwenye hosting siyo designing
Unaweza kupata free domain, free hosting, free design kwenye WordPress.com
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.