habari wana jamii, nina dish langu la euromax ffuti 6 full set( dish + kinga'muzi lina muda wa wiki moja tu lakini inanilazimu kuliuza kwa sababu nimehamishwa kikazi naenda nchi nyingine, linasteshen kibao zikiwemo local channels itv, star tv, tbc e.t.c ambapo haulipii kwa mwezi ni bureeee...
hello, natafuta nyumba ya kununua maeneo ya mwenge,savei, ubungo,kinondoni na tabata, bei ya mtanzania wa kawaida sina mamilioni jamani, budget ni 35-45 m.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.