Recent content by Missile of the Nation

  1. M

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Ni ujinga mno kupeleka Ground force ya maelfu ya wanajeshi kwenye nchi inayoweza kumobilize Mamilioni ya wapiganaji!
  2. M

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Watakuwa wanataka kusingizia Iran hao. Zile false Flag zao za kupiga Diego Garcia, na Aramco zilistukiwa. Sasa huenda wanatafuta uungwaji mkono na public huko USA ili USA ipeleke ground forces.
  3. M

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Leo Iran imeshusha ndege ya F-18 ya Marekani. It seems air defense ya Iran imeanza kuchangamka
  4. M

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Iran imesema kuwa ikivamiwa na askari wa miguu wa Marekani ili kuishikilia strait of Hormuz na yenyewe itavamia ukanda wa pwani wa Kuwait na bahrain. Yaani jamaa anapiga kwenye mshono, maana hizo nchi zina maslahi makubwa ya Marekani
  5. M

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Ili Israel iithibiti Iran inabidi ifanye yafuatayo 1. Itengeneze interceptors nyingi zisizopungua 100000 2. Iwekeze ktk Intelijensia ya kujua underground missiles ziko wapi, na itume mossad operatives ndani ya IRGC wapandikize vilipuzi 3. Itafute solution ya Cluster missiles. Hata hivyo Iran...
  6. M

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Bado wanapumua, Iran endelea kupiga kichwa!.
  7. M

    Donald Trump atangaza kusimamisha vita na Iran kwa siku 5 kuanzia leo

    Iran usiache kuponda kichwa, bado wanapumua!
  8. M

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    IRGC hivi punde imetuma wimbi la 74 la operation Promise 4 la vimondo vingine kuelekea Israel, mkisikia mguno jua vimeshampopa mtu. Apigwe dhalimu apigwe, apigweeeee
  9. M

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    1. Muda mfupi uliopita Iran imeshusha F-15 katika anga la Hormuz 2. Sattelite ya Wachina imeonyesha makombora yalitua Diego Garcia na kuleta uharibifu
  10. M

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Comment za netizens kwenye mitandao mingi zinaonyesha chuki kali dhidi ya waisrael. Hawa jamaa wamekuwa na kiburi cha kupitiliza
  11. M

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Kipigo alichotoa Iran jana ni kipigo cha "Lukaya". Haka ka nchi kanakajojifanya kababe sasa kamekutana na mbabe mstaarabu aliyeamua kutoa discipline ili kaache kusumbua. Anakapeleka moto ni hatari.
  12. M

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Uwezo anao, ila akifanya hivyo utashangaa dunia nzima inamlaani!
  13. M

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Iran imetuma wimbi la 71 la operation True promise, soon tutasikia mlio huko Tel Aviv
  14. M

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    USA tekinojia yao ya vita ni ya zamani, ya enzi za Soviet Union.
Back
Top Bottom