Kama CDF anaogopa haki kutendeka mahakamani anapata wapi moral authority ya kuendelea kuwa kamanda wa vikosi vyetu vya ulinzi na usalama?.
Akikwepa kuisaidia mahakama ili haki ipatikane maana yake ni kuwa yeye ni mtu wa dhulma, siyo mtu wa haki na atakuwa hafai kuendelea kuwa katika nafasi hiyo!
Haisaidii.
Wakifanya hivyo watashusha heshima ya Taasisi zao mbele ya wananchi kwa kiwango cha kutisha.
Na itakuwa ni uonevu wa kutisha kwa dola kunyonga mtu wakati inamnyima ushahidi wa msingi.
Mkuu wa majeshi akikataa wito wa mahakama itatengeneza crisis ndani ya Jeshi. Wapiganaji watamdharau. Na atalifanya jeshi lionekane linatumika kisiasa.
wamepuyanga.
Sisi interest yetu ni Haki itenfeke mahakamani baasi.
Kama Katuga anatafuta Ujaji kupitia kitanzi katika shingo ya Lissu bila haki basi wananchi tunaona na hatutasahau
wamepuyanga.
Sisi interest yetu ni Haki itendeke mahakamani baasi. Porojo haziwezi kutenda haki.
Kama Katuga anatafuta Ujaji kupitia kitanzi katika shingo ya Lissu bila haki basi wananchi tunaona na hatutasahau.
Sasa anaogopa nini kwenda mahakamani wakati akikutana na mkuu wa wilaya tu anakauka saluti?.
Wanasiasa wamejitengenezea mfumo ili wabeba bunduki kama hawa always wajione wadogo mbele yao.
Hayuko juu ya sheria.
Na yeye ni mkuu wa chombo cha kulinda katiba.
Na katiba inasema Mahakama ndo chombo kikuu cha kutoa haki nchini.
Sasa inabidi aende akailinde katiba kwa vitendo kwa kuisaidia mahakama kutenda haki.
Udaku ule wa Katuga mahakamani ni dhahiri hana tofauti na wale waliotumia hila kumshawishi Pilato asitende haki kwa Yesu Kristo mtu asiyekuwa na hatia.
Sisi tulitegemea ungefanya kazi ya maana ya kwenda kuisaidia mahakama kutenda haki lakini tunachokiona, wewe unaenda kuleta udaku, kuzungumza vitu visivyohusiana na mashitaka. Kiufupi unapoteza muda wa majaji na unakuonyesha kuwa inabidi labda urudi shule kuongeza ujuzi wa sheria.
Sasa Passport...
Sasa kwani wewe hujui kuwa Saudia, Marekani na Israel ni washirika damdam wa toka kitambo toka nitoke?. Au wewe kinachokusumbua ni kuwa Saudia ni waislamu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.