Recent content by Missile of the Nation

  1. M

    JamiiForums Tanzania Nani anaamini hawa wote wako nje ya nchi? 😂

    Kama CDF anaogopa haki kutendeka mahakamani anapata wapi moral authority ya kuendelea kuwa kamanda wa vikosi vyetu vya ulinzi na usalama?. Akikwepa kuisaidia mahakama ili haki ipatikane maana yake ni kuwa yeye ni mtu wa dhulma, siyo mtu wa haki na atakuwa hafai kuendelea kuwa katika nafasi hiyo!
  2. M

    JamiiForums Tanzania Nani anaamini hawa wote wako nje ya nchi? 😂

    Waache kuogopa haki! Waje mahakamani waisaidie Jamhuri kupata na kutenda haki kwa raia wake!
  3. M

    JamiiForums Tanzania Msishangae wakuu wa majeshi wakapanga safari kukimbia kesi

    Haisaidii. Wakifanya hivyo watashusha heshima ya Taasisi zao mbele ya wananchi kwa kiwango cha kutisha. Na itakuwa ni uonevu wa kutisha kwa dola kunyonga mtu wakati inamnyima ushahidi wa msingi.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa Majeshi akikataa wito wa Mahakama, mtamfanya nini?

    Mkuu wa majeshi akikataa wito wa mahakama itatengeneza crisis ndani ya Jeshi. Wapiganaji watamdharau. Na atalifanya jeshi lionekane linatumika kisiasa.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Wakili Katuga, Jamhuri haikukutuma ukafanye udaku mahakamani

    wamepuyanga. Sisi interest yetu ni Haki itenfeke mahakamani baasi. Kama Katuga anatafuta Ujaji kupitia kitanzi katika shingo ya Lissu bila haki basi wananchi tunaona na hatutasahau
  6. M

    JamiiForums Tanzania Wakili Katuga, Jamhuri haikukutuma ukafanye udaku mahakamani

    wamepuyanga. Sisi interest yetu ni Haki itendeke mahakamani baasi. Porojo haziwezi kutenda haki. Kama Katuga anatafuta Ujaji kupitia kitanzi katika shingo ya Lissu bila haki basi wananchi tunaona na hatutasahau.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Wakili Katuga, Jamhuri haikukutuma ukafanye udaku mahakamani

    Katuga katuletea vihoja mahakamani.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa Majeshi akikataa wito wa Mahakama, mtamfanya nini?

    Sasa anaogopa nini kwenda mahakamani wakati akikutana na mkuu wa wilaya tu anakauka saluti?. Wanasiasa wamejitengenezea mfumo ili wabeba bunduki kama hawa always wajione wadogo mbele yao.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa Majeshi akikataa wito wa Mahakama, mtamfanya nini?

    Hayuko juu ya sheria. Na yeye ni mkuu wa chombo cha kulinda katiba. Na katiba inasema Mahakama ndo chombo kikuu cha kutoa haki nchini. Sasa inabidi aende akailinde katiba kwa vitendo kwa kuisaidia mahakama kutenda haki.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Wakili Katuga, Jamhuri haikukutuma ukafanye udaku mahakamani

    Udaku ule wa Katuga mahakamani ni dhahiri hana tofauti na wale waliotumia hila kumshawishi Pilato asitende haki kwa Yesu Kristo mtu asiyekuwa na hatia.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Wakili Katuga, Jamhuri haikukutuma ukafanye udaku mahakamani

    Katuga analeta mbwembwe mahakamani kwa mambo yasiyohusiana na hati ya mashitaka. Huku ni kuipotezea mahakama muda na kuchelewesha haki kutendeka.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Wakili Katuga, Jamhuri haikukutuma ukafanye udaku mahakamani

    Sisi tulitegemea ungefanya kazi ya maana ya kwenda kuisaidia mahakama kutenda haki lakini tunachokiona, wewe unaenda kuleta udaku, kuzungumza vitu visivyohusiana na mashitaka. Kiufupi unapoteza muda wa majaji na unakuonyesha kuwa inabidi labda urudi shule kuongeza ujuzi wa sheria. Sasa Passport...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Saudi Arabia ameanza kumuomba Israel msaada wa intel dhidi ya wahuthi, mnajifanyaga kukaza alafu mnaachia wenyewe😁

    Saudia kama Taifa huru anaweza kushirikiana na Taifa lolote analotaka, nashangaa unaona hilo ni big deal hadi kulianzishia mada.
  14. M

    JamiiForums Tanzania Saudi Arabia ameanza kumuomba Israel msaada wa intel dhidi ya wahuthi, mnajifanyaga kukaza alafu mnaachia wenyewe😁

    Sasa kwani wewe hujui kuwa Saudia, Marekani na Israel ni washirika damdam wa toka kitambo toka nitoke?. Au wewe kinachokusumbua ni kuwa Saudia ni waislamu?
  15. M

    JamiiForums Tanzania CHADEMA wakija kukubali huu upumbavu ndo utakuwa mwisho wao

    Kuridhiana kwenye nini haswa? Mimi sielewi maridhiano yenyewe maana yake nini?
Back
Top Bottom