Watakuwa wanataka kusingizia Iran hao.
Zile false Flag zao za kupiga Diego Garcia, na Aramco zilistukiwa. Sasa huenda wanatafuta uungwaji mkono na public huko USA ili USA ipeleke ground forces.
Iran imesema kuwa ikivamiwa na askari wa miguu wa Marekani ili kuishikilia strait of Hormuz na yenyewe itavamia ukanda wa pwani wa Kuwait na bahrain. Yaani jamaa anapiga kwenye mshono, maana hizo nchi zina maslahi makubwa ya Marekani
Ili Israel iithibiti Iran inabidi ifanye yafuatayo
1. Itengeneze interceptors nyingi zisizopungua 100000
2. Iwekeze ktk Intelijensia ya kujua underground missiles ziko wapi, na itume mossad operatives ndani ya IRGC wapandikize vilipuzi
3. Itafute solution ya Cluster missiles.
Hata hivyo Iran...
Kipigo alichotoa Iran jana ni kipigo cha "Lukaya". Haka ka nchi kanakajojifanya kababe sasa kamekutana na mbabe mstaarabu aliyeamua kutoa discipline ili kaache kusumbua. Anakapeleka moto ni hatari.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.