Naona unawapa Amri Serikali unawaamrisha kwani wewe ndiyo kiranja wao? Serikali wakifanya kazi kwa mujibu wa fikra zako hakika Nchi itakuwa imepotea njia, usisake uteuzi kwa njia za kishamba hivyo, matusi yako ni ya kizamani sana ni aibu mtu kama wewe kuwa mshauri wa Serikali kwani huna sifa...
Kwa akili yako unaona huu ujinga unaoandika utakupa uteuzi? Kunenepa kwa mnyika vina uhusiano gani na mabaya yako rejesha ile CCTV ya kule Dodoma siku unampiga Risasi Lisu ili uchunguzi upate kukubaini wajue unyama wako
ingawa unasaka uteuzi kwa nguvu kubwa lakini ujue ccm nao wataangalia unaandika nini na endapo utakomaa kupingana na katiba na sheria huwezi pata uteuzi kamwe kwani unapingana na haki za wanyonge
Pale mtaa wa congo, ilala mazense sokoni kote kwenye misiba hata mwendo kasi na matukio ya ghafra hukusanya watu na kote huko wewe ndiyo unawapa kibali? Sheria katiba inakuruhusu hivyo?
Wewe ndiyo hujui kitu lakini kwa kuwa Akili zako zimekutuma ulazimishe fikra zako binafsi ziwe sheria haramu wakati sheria halali ipo na ipo wazi hairuhusu hayo unayotengeneza wewe
Unasaka uteuzi na umeamua kujitoa fahamu zote ili upewe uteuzi kwa kivuli cha kuongea vitu kinyume na katiba na sheria inavyoelekeza kuwa ni kupewa Taarifa siyo wewe kutoa kibali kwani katiba haikupi mamlaka hayo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.