Recent content by minyoo

  1. minyoo

    PostGE2025 Baada ya Saa 24 Redcross watamuunga mkono Agustino Polepole kugeuza mawe

    Jwtz kuwa chini ya kuongozwa na Polisiccm ndiko kumepelekea kuitwa Red Cross
  2. minyoo

    PostGE2025 Baada ya Saa 24 Redcross watamuunga mkono Agustino Polepole kugeuza mawe

    Tunduma Songwe mbeya ndipo waliuawa Polisiccm wengi na kmkm waliua watu wengi mwanza mara Arusha na Dar kwani ndipo walielekezwa kwa wingi na mkuu wa mauaji Haji Omary kheri mshauri wa mama iddy Amin dada toka Zanzibar
  3. minyoo

    Hivi Jenerali Augustino Pole Pole ni mwanajeshi wa nchi gani?

    Wanamkejeli wanampuuza kama walivyopuuza tarehe 29, lakini hawajui kuwa wanazidi kumpandisha Hasira zaidi
  4. minyoo

    Hivi Jenerali Augustino Pole Pole ni mwanajeshi wa nchi gani?

    Wakimwachia polepole haraka ataachana nao
  5. minyoo

    Hivi Jenerali Augustino Pole Pole ni mwanajeshi wa nchi gani?

    Huo ndiyo ukweli kwani anachotaka ni mdogo wake aachiwe mara moja, endapo watakaidi agizo lake ndipo watapewa jawabu linalowasitahili
  6. minyoo

    PostGE2025 Nchi za kikristo zikizuia misaada nchi za kiislamu zitatusaidia

    Qatar ilisaidia kambi ya jeshi la marekani kuishambulia iran na hapo ndipo utajua kuwa waarabu hawafai ni watu wa hovyo sana
  7. minyoo

    PostGE2025 Nchi za kikristo zikizuia misaada nchi za kiislamu zitatusaidia

    Waarabu huisaidia Israel kuwaua waarabu wenzao wa Palestina na hapo ndipo utajua Mwarabu ni mtu wa hovyo sana
  8. minyoo

    PostGE2025 Nchi za kikristo zikizuia misaada nchi za kiislamu zitatusaidia

    Nchi ya Tanzania ina Rasilimali nyingi kuliko waarabu cha ajabu imekuwa ombaomba kuliko hata Nchi masikini kama Burundi Sudan kusini, sasa inawaleta Warabu kuja kuharibu Nchi iwe kama Sudan na libya, hata macc yanainajisi Nchi
  9. minyoo

    PostGE2025 Nchi za kikristo zikizuia misaada nchi za kiislamu zitatusaidia

    Nchi ya Tanzania inaenda kuwa ya hovyo sana na huenda ikawa masikini kama Yemen kwani Mwarabu ataiba na kukwangua kila kitu kisha atafanya uchonganishi Nchi ichafuke isitawalike kama congo Somalia Africa ya kati
  10. minyoo

    PostGE2025 Nchi za kikristo zikizuia misaada nchi za kiislamu zitatusaidia

    Wanachojua waarabu ni uchonganishi tu ili waibe wanyama pori Serengeti mbuga zote za wanyama wapeleke kwao na kuiba gesi na mafuta na kueneza Udini kwa kifupi waarabu ni watu wa hovyo kupita jamii zote za viumbe vya mungu hapa Duniani
  11. minyoo

    PostGE2025 Nchi za kikristo zikizuia misaada nchi za kiislamu zitatusaidia

    Waarabu ndiyo wa hovyo kwani wao hutawaliwa na wazungu visima vyao vya mafuta uchumi wao wote unasimamiwa na wazungu, Syria, Lebanon, Iraq, Afaganistan, Somalia, Yemen, Libya hawajaweza kuwakwamua ndiyo wataiweza Tanzania ?
  12. minyoo

    PostGE2025 Nchi za kikristo zikizuia misaada nchi za kiislamu zitatusaidia

    Kwani si wanasema Tanzania ni Nchi yenye Rasilimali nyingi kuliko maelezo? iweje ifunge ndoa na waarabu? Usulutani kurejea? Mkoloni wa kiaarabu anakuja kuleta udini na tabia za kujilipua na mambo yake ya hovyo
Back
Top Bottom