Recent content by minyoo

  1. minyoo

    JamiiForums Tanzania Watanzania 90 wakamatwa Afrika Kusini

    Ubalozi wa Tanzania wajifunze kuhakiki kujiridhisha kwanza kwani police wa South Africa wana uhuni mwingi ni wajinga sana
  2. minyoo

    JamiiForums Tanzania Watanzania 90 wakamatwa Afrika Kusini

    Police wa South Africa huwapora passport na kuzichana kisha kuwabambikia kesi za uongo kuwa ni wahamiaji Haramu, Ubalozi huwa wanawahukumu juu kwa juu hawaka kusogea walipo wawasikilize wajue ukweli, Nchi zingine huwa hawataki huo ujinga wa police wa South Africa balozi zao hufanya uchunguzi na...
  3. minyoo

    JamiiForums Tanzania Huenda kuna vita ya kutwaa madaraka ya kitaifa kimapinduzi ndani ya CHADEMA

    Hapo hakuna hoja na hakuna cha kujadili zaidi ya kukataa huo uongo
  4. minyoo

    JamiiForums Tanzania Huenda kuna vita ya kutwaa madaraka ya kitaifa kimapinduzi ndani ya CHADEMA

    Hii ni aina ya propaganda ya kizamani sana hata wa darasa la pili C haikubali hata mvuta bangi haingii Akilini ni mwendawazimu pekee aweza kukaa akakusikiliza
  5. minyoo

    JamiiForums Tanzania Mafwele azuiwa kuingia Marekani. Ahusishwa na Utekaji, ukiukwaji wa haki za binadamu

    Kipindi katajwa aliyumba sana ikiwemo kupoteza uongozi akasota sana aliporejea kaacha mambo ya hovyo yupo na Amani zaidi hataki shida na watu
  6. minyoo

    JamiiForums Tanzania Mafwele azuiwa kuingia Marekani. Ahusishwa na Utekaji, ukiukwaji wa haki za binadamu

    Cha muhimu ni kuacha uonevu kwa watu mbona Mlilo hatajwi?
  7. minyoo

    JamiiForums Tanzania Mafwele azuiwa kuingia Marekani. Ahusishwa na Utekaji, ukiukwaji wa haki za binadamu

    Walichukua mali zake nyumba yake USA na magufuli alimtema kwenye uongozi wake pia
  8. minyoo

    JamiiForums Tanzania Mafwele azuiwa kuingia Marekani. Ahusishwa na Utekaji, ukiukwaji wa haki za binadamu

    Makonda hasemi tu lakini walitaifisha pesa zake na nyumba yake USA na pia uliona magufuli alimtosa haraka kuepuka kumchafua
  9. minyoo

    JamiiForums Tanzania Mafwele azuiwa kuingia Marekani. Ahusishwa na Utekaji, ukiukwaji wa haki za binadamu

    Bashite alipigwa ban na magufuli akamwondoa kwenye mfumo wake wote
  10. minyoo

    JamiiForums Tanzania Mafwele azuiwa kuingia Marekani. Ahusishwa na Utekaji, ukiukwaji wa haki za binadamu

    Kweli kabsa ya makonda ilikuwa ya tofauti na licha ya udogo wake magufuli alimwondoa kwenye mfumo wa uongozi wake
  11. minyoo

    JamiiForums Tanzania Mafwele azuiwa kuingia Marekani. Ahusishwa na Utekaji, ukiukwaji wa haki za binadamu

    Rais wa zamani wa Cuba ni mzee sana lakini kafunguliwa kesi
  12. minyoo

    JamiiForums Tanzania Mikono ya Jumbe yafunguliwa pingu na Polisi ikiwa imevimba kwa kufungwa pingu Jana Baada ya kutekwa

    Mungu na malaika wake ni wakubwa sana bila wao kuwajaa bodaboda hakika angekufa
  13. minyoo

    JamiiForums Tanzania Kulikoni ziara ya Rio Ferdinand, mbona Naibu Waziri hajaonekana?

    Azialike yanga na simba London tuone kama Rio ana nguvu huko kwao
  14. minyoo

    JamiiForums Tanzania Kulikoni ziara ya Rio Ferdinand, mbona Naibu Waziri hajaonekana?

    Mgosi akijichenga na Bashite ajue kamkacha lazima atamwanzishia Zengwe kubwa na hata kung’olewa wizara ya michezo, hapo itakuwa mgosi hayupo Nchini kwa taarifa maalum
  15. minyoo

    JamiiForums Tanzania Kulikoni ziara ya Rio Ferdinand, mbona Naibu Waziri hajaonekana?

    Sasa Rio aweza kuwaalika Yanga Simba London wakipige hata West Ham au Spurs tu ❓❓❓
Back
Top Bottom