Recent content by minyoo

  1. minyoo

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: Kama walikuwa wanataka kunikondesha, watafute utaratibu mwingine

    Kwani lema kalazimishwa?
  2. minyoo

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: Kama walikuwa wanataka kunikondesha, watafute utaratibu mwingine

    Anza kuwa na Akili kwanza ndipo uwe na ujasiri wa kuongea maana hapo ulipo unalelewa kwa masela gheto
  3. minyoo

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: Kama walikuwa wanataka kunikondesha, watafute utaratibu mwingine

    Mbona wewe ni mwendawazi tayari nani kakuambia una akili?
  4. minyoo

    JamiiForums Tanzania Kwa ufupi kinachoendelea kwenye uchunguzi wa kifo cha dereva wa Heche ni hiki hapa

    Umejuaje ni kifo cha kawaida?
  5. minyoo

    JamiiForums Tanzania Kwa ufupi kinachoendelea kwenye uchunguzi wa kifo cha dereva wa Heche ni hiki hapa

    Naona unawapa Amri Serikali unawaamrisha kwani wewe ndiyo kiranja wao? Serikali wakifanya kazi kwa mujibu wa fikra zako hakika Nchi itakuwa imepotea njia, usisake uteuzi kwa njia za kishamba hivyo, matusi yako ni ya kizamani sana ni aibu mtu kama wewe kuwa mshauri wa Serikali kwani huna sifa...
  6. minyoo

    JamiiForums Tanzania Kwa ufupi kinachoendelea kwenye uchunguzi wa kifo cha dereva wa Heche ni hiki hapa

    Kwa akili yako unaona huu ujinga unaoandika utakupa uteuzi? Kunenepa kwa mnyika vina uhusiano gani na mabaya yako rejesha ile CCTV ya kule Dodoma siku unampiga Risasi Lisu ili uchunguzi upate kukubaini wajue unyama wako
  7. minyoo

    JamiiForums Tanzania Presha ya maandamano: Ulinzi waimarishwa Dar, Askari wasambaa vituo vya mwendokasi na makutano ya barabara

    Chadema hawajaitisha mandamano popote na hayo mandamano hayapo na hayatakuwepo acheni kupotosha umma
  8. minyoo

    JamiiForums Tanzania Presha ya maandamano: Ulinzi waimarishwa Dar, Askari wasambaa vituo vya mwendokasi na makutano ya barabara

    Hakuna mandamano wala nini lakini kwa kuwa wanalinda Usalama ni jambo jema acha waendelee kulinda vizuri maisha yanaendelea
  9. minyoo

    JamiiForums Tanzania Sasa nimeelewa kwanini Tundu Lissu alimteua Mzungu bwana Robert Amsterdam kuwa mshauri wa kisheria wa CHADEMA

    ingawa unasaka uteuzi kwa nguvu kubwa lakini ujue ccm nao wataangalia unaandika nini na endapo utakomaa kupingana na katiba na sheria huwezi pata uteuzi kamwe kwani unapingana na haki za wanyonge
  10. minyoo

    JamiiForums Tanzania Sasa nimeelewa kwanini Tundu Lissu alimteua Mzungu bwana Robert Amsterdam kuwa mshauri wa kisheria wa CHADEMA

    Kuna ile mikusanyiko pale Muhimbili kwenda kuona wagonjwa huwa wanapewa kibali?
  11. minyoo

    JamiiForums Tanzania Sasa nimeelewa kwanini Tundu Lissu alimteua Mzungu bwana Robert Amsterdam kuwa mshauri wa kisheria wa CHADEMA

    Hawaombi kibali kwani wanajua hakuna sheria inayosema inayotaka kuwepo kibali bali sheria inasema toa taarifa ya kuomba ulinzi tu
  12. minyoo

    JamiiForums Tanzania Sasa nimeelewa kwanini Tundu Lissu alimteua Mzungu bwana Robert Amsterdam kuwa mshauri wa kisheria wa CHADEMA

    Wewe huna unachojua zaidi ya kujitoa fahamu na kusaka uteuzi kwa njia haramu kupingana na katiba na sheria inavyoelekeza
  13. minyoo

    JamiiForums Tanzania Sasa nimeelewa kwanini Tundu Lissu alimteua Mzungu bwana Robert Amsterdam kuwa mshauri wa kisheria wa CHADEMA

    Pale mtaa wa congo, ilala mazense sokoni kote kwenye misiba hata mwendo kasi na matukio ya ghafra hukusanya watu na kote huko wewe ndiyo unawapa kibali? Sheria katiba inakuruhusu hivyo?
  14. minyoo

    JamiiForums Tanzania Sasa nimeelewa kwanini Tundu Lissu alimteua Mzungu bwana Robert Amsterdam kuwa mshauri wa kisheria wa CHADEMA

    Wewe ndiyo hujui kitu lakini kwa kuwa Akili zako zimekutuma ulazimishe fikra zako binafsi ziwe sheria haramu wakati sheria halali ipo na ipo wazi hairuhusu hayo unayotengeneza wewe
  15. minyoo

    JamiiForums Tanzania Sasa nimeelewa kwanini Tundu Lissu alimteua Mzungu bwana Robert Amsterdam kuwa mshauri wa kisheria wa CHADEMA

    Unasaka uteuzi na umeamua kujitoa fahamu zote ili upewe uteuzi kwa kivuli cha kuongea vitu kinyume na katiba na sheria inavyoelekeza kuwa ni kupewa Taarifa siyo wewe kutoa kibali kwani katiba haikupi mamlaka hayo
Back
Top Bottom