Police wa South Africa huwapora passport na kuzichana kisha kuwabambikia kesi za uongo kuwa ni wahamiaji Haramu, Ubalozi huwa wanawahukumu juu kwa juu hawaka kusogea walipo wawasikilize wajue ukweli, Nchi zingine huwa hawataki huo ujinga wa police wa South Africa balozi zao hufanya uchunguzi na...
Hii ni aina ya propaganda ya kizamani sana hata wa darasa la pili C haikubali hata mvuta bangi haingii Akilini ni mwendawazimu pekee aweza kukaa akakusikiliza
Mgosi akijichenga na Bashite ajue kamkacha lazima atamwanzishia Zengwe kubwa na hata kung’olewa wizara ya michezo, hapo itakuwa mgosi hayupo Nchini kwa taarifa maalum
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.