Recent content by Miniloy

  1. Miniloy

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Nimetumiwa naona si vibaya kushare nanyi ila sijui kama ni kweli au lah
  2. Miniloy

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Ni kweli sio lonja
  3. Miniloy

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Kwa kuongezea akuguseguse na civics kidg
  4. Miniloy

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Utajutia kama hujala msoto wa kitaa jua linavowaka, huna mtaji, plus huna channel yoyote then upate kimungumungu alafu ujutie? ???!!!!!!
  5. Miniloy

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Na inasemekana mtu anaweza mpa mtu jina lako lkn mwisho wa siku anamwambia mkuu nimeshindwa
  6. Miniloy

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Kiufupi tusijenge chuki na watu wa dizaini hii jmn mtu unaweza kuwa chomboni Tena mkubwa lkn still akawa ni msoma magazeti tu Kwa office lkn it's suprise mtu akawa hana cheo chochote au link yake ya chiini kabisa ila ndo akawa msaada mkubwa yaani kumsaidia mtu inataka maana inasemekana ikitokea...
  7. Miniloy

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Haiwezi kuwa hivo hata kidogo Kila moja itatoa tarehe yake tofauti, na hata ukifaulu kotekote haiathiri chochote sababu reserve haikosekani
  8. Miniloy

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Hakuna kitu kama iko
  9. Miniloy

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Tushaambiwa 28/01 so tushone tutulie[emoji38][emoji38][emoji38]
  10. Miniloy

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Huyu sasa anataka kututoa kwenye reli[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
  11. Miniloy

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Yaani hao ndo watakaoharibu hali ya hewa humu[emoji2]
  12. Miniloy

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    [emoji2][emoji2]
  13. Miniloy

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Mungu akijaalia this weekend UT mambo yote hadharani
  14. Miniloy

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Tuna siku 3 au 4 hv[emoji28]
  15. Miniloy

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Namjua vizuri ni mzee wa kwata kama alizaliwa nayo siku vikitimka hakuna vitengo wote uwanjani[emoji3]
Back
Top Bottom