Mm nasoma MD, haina inshu kaka. Unless una passion ya kusaidia watu. Unaweza ukipangiwa vijijini kituo cha kazi ulipwe laki 3 kwa mwez. Kama ana plan ya kupiga pesa simshauri asome MD wako weng sana. Apa kampala tupo 600 plus vyuo vingine, plus clinical officers ambao ndo wanaajiriwa sana sababu...
Habari zenu wakuu
Nimemaliza kidato cha 6 PCB mwaka 2024 Na kubahatika kupata 1.9
Katika process ya kuomba vyuo, nikaja kupata round ya 3 ambayo ndo ya mwisho kabisa chuo cha kampala, kozi MD.
Sasa ndugu zangu, mm kwetu hoehae,uchumi ni mdogo sana kuweza kumudu hizo garama za ada ambayo ni...
Habari zenu wakuu.
Naombeni msaada wa ushauri kuhusu kozi hizi mbili,
Bachelor of science in physiotherapy na Doctor of medicine (MD)
Ipi iko vizuri zaidi.
Ni ndoto ya kila form six leaver aliyesoma PCB kusoma MD, lakini kuna daktari mmoja hivi yuko intern kasema hanishauri kusoma MD, unless...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.