Kuwa pro-active kwa wapinzani kumesaidia taifa kwani hakika wangesubiri kuwa reactive mambo yangeharibika kwani tungeishia kuambiwa kuna zuio la mahakama. Kauli za pinda zinadhihilisha wazi kuwa hili jambo lilikuwepo na alilijua na alitegemea litafanikiwa
Mimi napingana na na muundo wa utafiti. Kwenye uchaguzi chama kinasimamisha mgombea mmoja mmoja. Kwanini waweke wa watu wengi wa chama kimoja.? Warudie utafiti kwa kuhoji kati ya CCM, UKAWA au VILE VYAMA VISIVYOKUWA NA UWAKILISHI BUNGENI: Utapigia nani kura? Pia sample iwe kubwa na evenly
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.