Recent content by MILES27

  1. MILES27

    Msaada wa chuo na course

    Nimemaliza form four na nimepata 2 katika masomo yote nimepata c kasoro math ndio nimepata f upande wa art lakini Nilikua naomba msaada wenu kuhus course GAni nzuri ambayo naweza soma upande wa MASWALA ya bandari hata kama ni diploma ipi ni nzuri Pia huwa Nina interest katika IT napo pia...
  2. MILES27

    Dar es Salaam Institute of Technology(DIT) - Special Thread

    Nimepata c masomo ya art yote kasoro math ndio Nina f. Form four course GAni Nzuri naweza apply msaada wenu tafadhal
  3. MILES27

    Vigezo vya kujiunga na Vyuo vya Kati (Colleges) kwa ngazi za Cheti na Diploma

    Mimi nimemaliza form four nimepata C masomo yote ya art geo eng keep kswhl civ etc ILa math ndio nimepata f Na ninapendelea mambo ya IT NAOMBENI mawazo yenu hapo naweza pata diploma au course GAni nzuri kwa sasa
Back
Top Bottom