Wadau,
Wafugaji wadogo wa kuku wa mayai wana hali ngumu sana kwani kuna mayai yanaingizwa kutoka kenya na kuuzwa kwa bei ya chini sana tene bila ya kulipiwa ushuru stahiki.
Wizara husika iingilie kati kuwa nusuru wafugaji wetu wadogo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.