Mimi mkenya nilifika kigoma mwaka uliopita ,nilikuwa natafuta mambo ya kiasili uko kigoma laa mimi nilipelekwa kwa watu ambaowalinifanyia kazi nasikuona chochote ,Hawa wataalum unaongelea wanapatikana wapi uko kigoma ? Hebu nipe jina wa mtaalum mmoja .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.