Majina ya vituo vya kazi yanategemewa kuitoka katikati ya mwezi huu na kuripoti April mos...source gazeti nipashe la Leo ukurasa wa 8 pia taarifa ya naibu waziri Tawala za mikoa na serikali za mitaa Elimu Kasimu Majaliwa akizungumza katika kipindi cha kumepambazuka Jana cha redio one...Hebu...
Ndugu zangu walimu wa Subira wenzangu taarifa ya naibu waziri Jenista kama ilikua ya ukwel japo wengi tuliipinga ..kwa Mujibu wa gazeti la Leo la Uhuru ni kwamba serikali ishakamilisha kila kitu na majina na vituo vya kazi vitatangazwa mwezi ujao.ila kuripoti ni kuanzia tarh 1 April.
Hebu...
Namngoja mheshimiwa alietaarifu walimu wapya kuajiriwa February 26...ikipita hapo ctokaa nisikilize tena tetesi nitangoja mpaka pale yatakapotimia kwel...maana tetesi zilikuepo tokea September mwaka Jana.......
Ndo hapo sasa sema wazazi wangu wanaelewa...sema wapembe mtaani Ndo wanachonga...mbaya zaidi nimesoma Chuo cha private hapa dar cha ada kubwa saaana ambayo hyo kaz mshahara wake kuirudisha co leo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.