Chawa wanafugwa na kuelekezwa.Wao sio wajinga ni maskini tu na njaa zao,wanajua kupambana na anayepambana na taasisi ya Urais ni kujimaliza. Wanajipanga ila bado ngumu sana wao kujaribu.
Na yeye ameamini wale ni kama Abdul kumbe wenyewe akili zao kwenye matumbo yao na vyeo na wakipata anayeshibisha tumbo zaidi hao hao chawa wanajigeuza kuwa maadui wa Rais. Asimamie yaliyo sahihi kupendwa atapendwa na watu sahihi.
Makonda yaonekana ana kazi ambayo job description yake ni tofauti na tuliyotarajia. Si jambo jipya ni kwamba tu kashindwa hata kuzuia tusijue hilo. Kazi sana.
Ha ha ha ha haaa. Hawaniwezi. Wamefeli kumsaidia na kusaidia taifa hili kwa kutumia upendo wao kwa Mama sasa acha tuwasaidie kumpenda kama Rais kwa manufaa ya wengi.
Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Amiri Jeshi Mkuu na Mwenyekiti wa Chama tawala Tanzania, Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Mheshimiwa Rais Pole kwa majukumu mengi sana.
Nikupongeze kwa kujitahidi kuifanya kazi uliyoapa kuifanya kadri ya uwezo wako.
Mheshimiwa Rais baada ya...
Inatisha sasa. Kuna hofu anayo aliyemteua. Kuna vitu anamhitaji na anaamini Paul atamsaidia lakini historia inanifanya kuamini kuna vitu anahofia vitatokea akienda kinyume nae.
Mh. Rais atafute washauri. Aniite nimshauri bure kabisa. Hao waliomshauri avae hivyo akapite karibu na wauza madafu na picha ipigwe akipita tu bila lolote lingine hawamtakii mema. Hata watalii wanafanya zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.