Recent content by Michelle

  1. Michelle

    Code Alpha-95

    Interesting! Thanks.
  2. Michelle

    Kukamatwa kwa Tundu Lissu kwamharibia Profesa Janabi kuchukua nafasi ya Ndugulile WHO

    PM huwa mgomvi sana saa nyingine. Tubaki tu kwenye mada leo. Kuwa mwanachama wa CCM haimaanishi una kubaliana na kila kitu au unaamini namna mambo yanavyokwenda ni sahihi ila kwa power dynamics zilivyo,basi tu,wenye nguvu wanaamua.
  3. Michelle

    Kukamatwa kwa Tundu Lissu kwamharibia Profesa Janabi kuchukua nafasi ya Ndugulile WHO

    Wanaweza kupuuza hili ila sumu inaweza penyezwa chini chini na ikamgharimu kweli Prof. Janabi. Ya Raila yaweza jitokeza kwa namna ngingine.
  4. Michelle

    PreGE2025 Ushauri kwa Mkurugenzi Mkuu wa TISS Kuhusu Kero Sugu ya Uhalifu wa Kiuchaguzi Unaofanywa na Wanasiasa Matapeli Wakati wa Chaguzi tangu 2010 hadi 2024

    Nimekuja hapa kupongeza na kushukuru sana Mungu kwa kukuumba na kukupa uwezo mzuri sana lakini zaidi kukushukuru Dr. Mama Amon kwa kutumia vizuri uwezo wako na muda wako. Wewe ni mzalendo kweli kweli. Pamoja na kuipenda CCM naipenda Tanzania zaidi. Na andiko hili watalielewa zaidi wanaoipenda...
  5. Michelle

    Lema: Tumuage M/kiti Mstaafu Mbowe kwa heshima, tumtafutie gari

    Huyu ndio Lema akiwa hajasoma upepo. Ndio maana kafuta tweet. Kipindi kile alikaa CANADA anawasoma akaja kuwaambia mlichotaka kusikia. Leo Tajiri Mbowe aliyelipia mkutano milioni 200+ na kutuhumiwa kwa rushwa anatakiwa kununuliwa gari kwa fedha za maskini kupitia michango kama ya Join the chain...
  6. Michelle

    Dada Mkubwa tunakupenda na tunakukubali, kama ni wewe, ni wewe tu, hakuna mwingine! Usiruhusu uhuni huu, fuata Katiba na the due process, utabarikiwa

    Ushauri mzuri Kaka. Ukweli ni kuwa hili jambo madhara yake ni makubwa kwenye ngazi za chini na huko mbeleni kwenye nafasi hiyo. Ninaamini Dada Mkubwa angepitishwa na Chama bila huu utaratibu ila sijui yeye anajua nini so naishia kushangaa. Namuombea Mungu ampe washauri wenye hekima na...
  7. Michelle

    Wadau Wampongeza Freeman Mbowe kwa Ukomavu wa Demokrasia na Uvumilivu uliotukuka

    Vitengo hivyo kuwa chini ya Mwenyekiti ni demokrasia? Mnaposema fulani ana mamlaka makubwa huwa ni kwenye masuala ya kitaifa tu ila kwenye chama hamlioni? Safari ni ndefu kidogo.
  8. Michelle

    Lissu na Hayati Magufuli nani mzalendo wa kweli?

    They are both imperfect leaders. Wote si wakamilifu. Tubebe mazuri yao,tujifunze kwa makosa yao na madhaifu yao. Tuendelee mbele. Wote ni wazalendo kwa namna moja au nyingine.
  9. Michelle

    Rais Samia ataziweza 'fitina za Watanganyika'?

    Heshima yako Boss,nimeusoma huu uzi leo. Una maono ya mbali sana. Ni kama ulipanga haya matukio kupitia mawazo yako haya. Rais Samia ana kazi ngumu kidogo,aendelee kupambana kike,tunajifunza mengi.
  10. Michelle

    January Makamba, very intelligent, humble, down-to-earth! Can make the best President

    Uko sahihi sana. Mh. Makamba anaweza jifunza kwake kama hana hii tabia kwa kuzaliwa.
  11. Michelle

    Wanaharakati wa haki za binadamu na ukimya wa matusi dhidi ya viongozi

    Chawa wanafugwa na kuelekezwa.Wao sio wajinga ni maskini tu na njaa zao,wanajua kupambana na anayepambana na taasisi ya Urais ni kujimaliza. Wanajipanga ila bado ngumu sana wao kujaribu.
  12. Michelle

    Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

    Asante sana kwa somo zuri. Ni wakati wa utekelezaji sasa.
  13. Michelle

    Rais Samia: Uliapa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na SIO Mama wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

    Na yeye ameamini wale ni kama Abdul kumbe wenyewe akili zao kwenye matumbo yao na vyeo na wakipata anayeshibisha tumbo zaidi hao hao chawa wanajigeuza kuwa maadui wa Rais. Asimamie yaliyo sahihi kupendwa atapendwa na watu sahihi.
  14. Michelle

    Sakata la Makonda: Mpaka sasa Samia hana CCM, hana wananchi, hana serikali

    Hili nalo neno. Sijui kwanini nimewaza jambo ambalo sijui ni zuri au baya. Huyu aweza kuwa makamo hapo mbele.
Back
Top Bottom