Nikiwa kama mdau Wa siasa nimefedheheshwa na kiburi cha Dr slaa kupingana na viongozi wenzake wanao unda ukawa.kimsingi naona kama Dr slaa alishakua na ndoto kubwa na uhakika kama ndie rais ajae Wa Tanzania. Sijaona ubaya wowote kwa vyama hivi kuungana ila kinyume na nilivotarajia kama ingetokea...
Hakuna kitu kibaya kama kuishi kwa mashaka,najiskia vibaya navosoma commet kuhusu Dr slaa karibu wiki nzima sasa,unaweza ukatumia akili ndogo tu kuwaza kwamba baraza kuu la chadema linafanya kikao chake muhimu kabisa lkn mtendani muhimu kama Katibu mkuu hayupo unambiwa kaenda likizo? Siku zote...
Angalizo kwa wadau Wa siasa, kukidhiri kwa rushwa kwa baadhi ya wabunge na mawaziri Wa ccm bunge la 10 dalili zinaonyesha idadi kubwa ya makada mahiri Wa ccm hawataridi bungeni..adhari kubwa katika chama na chaguzi za wagombea ni kutokea kuuzana kama ilivotokea kwa filex mrema mbunge Wa ccm...
Nirejee kwenye tuhuma za kwanza kwa Zitto kuwa alichakachua majina kwa baadhi ya majimbo ya uchaguzi na kupelekea wabunge kadhaa kupita bila kupingwa likiwamo jumbo la waziri mkuu Mizengo Pinda.
Kwa mtazamo Wa Magufuli na nguvu na ujanja Wa Lowassa je mwaka huu kitawezekanika?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.