Kufanikiwa kunataka nidhamu na hekima na wala sio unyenyekevu wala sio roho mbaya
Inataka mipango na mikakati inayotekelezeka na sio mbambamba
Inataka maarifa na uwezo wa kuwamiliki watu unaofanya nao kazi na sio mizaha
Mwisho inataka kujiheshimu na kukubali kuwa kiongozi mkuu wa kazi au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.