Recent content by michael sambu

  1. M

    Nimeitwa kwenye interview Arusha Tech post Examination officer

    Sijasema mm special mkuu? Nmeomba msaada tu kama msakatonge mwenzenu. Interview nying nmepiga chin coz ya idadi ya watu so hii imenikuta nipo Arusha ndo maana nikaona siyo mbaya nikapate uzoefu. Naomba unisamehe mkuu kama ntakuwa nimeweka post mahal ambapo c sahihi.
  2. M

    Nimeitwa kwenye interview Arusha Tech post Examination officer

    Habari za muda huu wanajamvi? Nimebahatika kuitwa kwenye usahili wa nafasi tajwa hapo juu, lakn changamoto n kuwa hii n mara yangu ya kwanza kwenda kufanya interview za utumishi, naomba mwenye uzoefu, maswali ya, examination officer yanavyo kuwa anisaidie tafadhali sambamba na uzoefu wa namna...
Back
Top Bottom