Mwenye macho namwambia atazame na asome ijapokuwa imesemwa mwenye macho haambiwi tazama.
Hizi mbio sio zetu, wametulazimisha, tumekimbia kuliko uwezo wetu, tumeanguka, hatuwezi kuinuka tena, saivi wao ndio wanatuinua, saivi wao ndio wanatetembeza. Hatuna pumzi tena mapafuni mwetu.
Sera za...
Michael nguma
0693110405
Inakuaje taifa kubwa kuwa na wasomi wengi wasio na maarifa katika rasilimali za taifa hilo?
Inakuaje taifa lenye mifumo ya elimu kuanzia ngazi za chini mpaka chuo kikuu linakuwa na wasomi wasio na maarifa ya kutumia rasilimali za nchi kwa manufaa yao na kwa manufaa ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.