Wale wa muhas. matokeo ya wliopata degree, diploma na advanced diploma tayari kwenye mtandao.http://www.muchs.ac.tz/Advertisements/Admissions/Candidates_Selected_Undergraduate2013_2014.pdf
wale wa general nursing ndo hawakosi ajira kabsaa maana kwa kila clinical officer mmoja wanahitajika nurse10 na nurses wengi wanapangiwa pale hosptali kuu mnazmmoja ila clinical officers wengi wanapelekwa dispensari ndogondogo za wilaya kulingana na sehemu wanazoishi.
kwa wale wanaojilipia ada yote wakimaliza wanaweza kutafuta ajira wenyewe ila wale wanaolipiwa 50% ya tuition fee na wizara ya afya zanzbar wakimalza lazima waitumikie serikali kw miaka miwili ktk hosptal zake halaf ndo mkataba ukimaliza wanaweza kutafuta ajira popote au kwenda kuongezea elimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.