Recent content by Mhung

  1. M

    JamiiForums Tanzania CHADEMA tusiingie kwenye mtego wa Nchimbi na CCM yake

    2030 ni Hussein Mwinyi, ccm wanajua walivyoharibu 2025, watamtumia uyo kutokana na maendeleo anayoyaganya ZNZ.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Uteuzi: Salum Mnuna ateuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa EWURA

    Salum mnuna ni Mmoja ya wasimamizi wa mradi wa east Africa crude oil project (ecop), ni mtu mwenye usoefu na masuala ya mafuta, ameshafanya kazi katika wizara ya nishati, pia katika taasisi pbpa inayoshughulikia na uagizaji wa mafuta Kwa Tanzania. Ana uzoefu na hizo kazi Kwa iyo tutegemee neema...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Uteuzi: Salum Mnuna ateuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa EWURA

    Kwani wazanzibari sio Watanzania?
  4. M

    JamiiForums Tanzania Asanteni wana Dar es Salaam kwa kutomtii Katambi, hamjafanya biashara kama siku nyingine, ishara nchi haiko kwenye amani

    Hii ndio akili ya wapuuzi, wanaoingia hasara ni wananchi wa chini na sio hio serikali, hao viongozi hawana hasara wanayoingia Bali ni sis ambayo lazima tutoke tutafue mkate. Huu ujinga tunaumizana sisis Kwa sisi. Hebu niulize Kuna mbunge, Waziri au raisi Leo Tanzania Ambae amekosa mahitaji yake...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Wachumi: Leo Taifa limepata hasara kiasi gani? CCM siyo sifa, hiki mnafanya ni upumbavu

    Aliechochea huu ujinga wa maandamano ni ccm? Shughuli zimesimama kutokana na wafanyabiashara wanahofu ya kuingia hasara kutokana na wizi wa hao vijana wanaojiita wanaandamana.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Waziri Kombo: Raia akimrushia jiwe Polisi, general order yake inamwambia 'Attack first'

    Tanganyika haipo labda wilaya ya Tanganyika ila nchi inayoitwa hivyo haipo.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Waziri Kombo: Raia akimrushia jiwe Polisi, general order yake inamwambia 'Attack first'

    Wacha kujizingusha " raia wa Zanzibar anaefanya kazi Tanganyika"? Huyo ni mtanzania na niwaziri wako. Hakuna nchi Wala mamlaka inayoitwa Tanganyika.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Muungano uruhusu wawakilishi toka Tanganyika katika Bunge la Zanzibar

    Tunalinda haki zetu katika muungano kama Watanzania.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Muungano uruhusu wawakilishi toka Tanganyika katika Bunge la Zanzibar

    Wabunge kutoka ZNZ wanawakilisha ZNZ Kwa sababu znz ni sehemu ya Tanzania , hao wabunge wa Tanganyika wanakwenda kuwakilisha Nini wakati wao sio wazanzibari? Baraza la wawakilishi hujadili mambo ya znz tu ambayo Tanganyika haihusiki. Nadhani ni muda sasa Tanganyika wajitafute.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Muungano uruhusu wawakilishi toka Tanganyika katika Bunge la Zanzibar

    Hao 50 wanaenda kuwakilisha majimbo yao binafsi , 5 huteuliwa kwenda kuwakilisha ZNZ katika masuala ya muungano.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Muungano uruhusu wawakilishi toka Tanganyika katika Bunge la Zanzibar

    Wabunge wakafanye Nini Baraza la wawakilishi? Wawakilishi watano huchaguliwa kutoka Baraza la wawakilishi kuwakilisha ZNZ katika masuala ya muungano na maslahi ya ZNZ. Hao wabunge kutoka Tanganyika wanaenda kuwakilisha Nini ZNZ.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Zanzibar mbioni kuanzisha shirika lake la ndege ''Zanzibar Airline''

    Sishangai iyo username Yako tu ni ushahidi tosha.
  13. M

    JamiiForums Tanzania Sasa Maandamano na harakati zimekuwa ni za Kuidai Tanganyika

    Tanganyika ndio inautaka huu muungano, wezetu ZNZ waliupinga tokea 2000
  14. M

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Inadaiwa 69% ya wakurugenzi wa wilaya bara ni kutoka Zanzibar

    Zanzibar walidai katiba mpya tokea 2000 maalim self alipigania mpaka mwisho wa uhai wake, usiongee vitu Kwa mihemko. Huko bara mumeanza kuona umuhimu wa katiba miaka hii ya karibuni.
  15. M

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Inadaiwa 69% ya wakurugenzi wa wilaya bara ni kutoka Zanzibar

    Iyo takwimu Yako umeitolea wapi? Ao wazanzibari unaozumgumzia sio Watanzania?
Back
Top Bottom