Kwanza Heche atakamatwa Kwa uchochezi wa uvunjifu wa Amani, vijana jipelekeni kimbelembele muone. Ila musijali tutawaundia tume ya uchunguzi na usuluhishi.
Psssf na nsssf zimeanzidhwa na serikali, ni Taasisi za serikali za hifadhi ya jamii, Moja husimamia waajiriwa WA private na nyengine wa public au serikali. wakuu wa Taasisi hizo ( Director general ) huchaguliwa na Raisi , domain name zao ni .go.tz zenye kumaanisha ni chombo Cha serikali na...
Nakumbuka 2023 , Waziri prof kitila mkumbo aliainisha baadhi ya Taasisi na Mashirika kufutwa na mengine kuunganishwa. Moja wapo ni sido. Waziri alipendekeza Taasisi zinazofanya kazi Moja kama sido, camartec na Temdo ziunganishwe ili kupunguza fedha za bajeti na matumizi yasio na lazima , ila Cha...
Kwenye Utumishi wa umma ( serikalini), sahau icho kitu. Ila private kama una diploma au degree ( hasa hasa iwe ya engineering, environmental science) unaweza pata, ila usome nosch 1&2 kutoka osha unaajirika kama Safety officer, kozi nyengine zote za osha zinasaidia ukiwa na ajira ila kama ndio...
Kabla ya kukurupuka , kupanda Kwa mafuta sio kosa la serikali ya Tanzania,ni ujinga alna makosa ya serikali ya Amerika na hii inaathiri Dunia nzima sio Tanzania tu
Zanzibar Ina mamlaka yake ya usimamizi wa maji na nishati (ZURA) , hiyo ndio hupanga bei za huduma hizo kama ilivyo ewura, pia ZNZ Ina hifadhi ya mafuta yake na bandari yake ya mafuta. Kwa hiyo Bado mafuta wanayo mengi na watumizi sio wengi.
Zanzibar Kuna ZURA , mamlaka inayodhibiti nishati na maji. Wao ndio hupanga bei ya huduma hizo Kwa Zanzibar. Pia Zanzibar Ina bandari yake ya mafuta na hifadhi yake ya mafuta.
Cha kushangaza zaidi, ZNZ wananchi wananunua umeme kama ilivyo Tanzania Bara, Tsh 500 unit 1.4 , je ZECO hizo fedha wanazipeleka wapi badala ya kulipa deni? Hawana Gharama za kuzalisha umeme labda matengenezo na usambazaji maeneo machache.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.