Salum mnuna ni Mmoja ya wasimamizi wa mradi wa east Africa crude oil project (ecop), ni mtu mwenye usoefu na masuala ya mafuta, ameshafanya kazi katika wizara ya nishati, pia katika taasisi pbpa inayoshughulikia na uagizaji wa mafuta Kwa Tanzania. Ana uzoefu na hizo kazi Kwa iyo tutegemee neema...
Hii ndio akili ya wapuuzi, wanaoingia hasara ni wananchi wa chini na sio hio serikali, hao viongozi hawana hasara wanayoingia Bali ni sis ambayo lazima tutoke tutafue mkate. Huu ujinga tunaumizana sisis Kwa sisi. Hebu niulize Kuna mbunge, Waziri au raisi Leo Tanzania Ambae amekosa mahitaji yake...
Aliechochea huu ujinga wa maandamano ni ccm? Shughuli zimesimama kutokana na wafanyabiashara wanahofu ya kuingia hasara kutokana na wizi wa hao vijana wanaojiita wanaandamana.
Wabunge kutoka ZNZ wanawakilisha ZNZ Kwa sababu znz ni sehemu ya Tanzania , hao wabunge wa Tanganyika wanakwenda kuwakilisha Nini wakati wao sio wazanzibari? Baraza la wawakilishi hujadili mambo ya znz tu ambayo Tanganyika haihusiki. Nadhani ni muda sasa Tanganyika wajitafute.
Wabunge wakafanye Nini Baraza la wawakilishi? Wawakilishi watano huchaguliwa kutoka Baraza la wawakilishi kuwakilisha ZNZ katika masuala ya muungano na maslahi ya ZNZ. Hao wabunge kutoka Tanganyika wanaenda kuwakilisha Nini ZNZ.
Zanzibar walidai katiba mpya tokea 2000 maalim self alipigania mpaka mwisho wa uhai wake, usiongee vitu Kwa mihemko. Huko bara mumeanza kuona umuhimu wa katiba miaka hii ya karibuni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.