Recent content by Mhung

  1. M

    JamiiForums Tanzania Naomba Ushauri: Mdogo wangu amesoma Diploma of Clinical Medicine akapata GPA 2.7, afanyeje kuendelea na masomo bila kurudi nyuma?

    Kwa GPA hiyo, njia pekee ya kuongeza elimu ni kupitia utumishi wa umma, aombe kazi utumishi , Kwa diploma hawazingatii gpa , afanye kazi 3+ years ndio akasome, hapo chuo atakubalika Kwa sababu experience ya utumishi itambeba. chuo hawatokua na pingamizi Kwa vile ni mtumishi akimaliza anarudi...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Ni ujuzi Gani ukijifunza unaweza kupata kazi mtandaoni nakukupatia kipato?

    Jifunze programming na hasa python. Hii ni programming language inayokua Kwa Kasi zaidi, jifunze basic Kisha specify maana python ni kubwa. Unaweza kuspecify kwenye AI, machine learning, data science, Computer vision, Robotics. Python inakufungulia milango ya career nyingi zinazolipa. Au...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais, Dkt. Emmanuel Nchimbi, ajiuzulu

    Baada ya kifo Cha mpishi wake wa ofisini nadhani ameingiwa na hofu so amejiongeza.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais, Dkt. Emmanuel Nchimbi, ajiuzulu

    Makamu wa raisi / mgombea mwenza wa uraisi huchaguliwa na chama sio wananchi.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Ila uhamisho ni vita kubwa kuliko kupata placement
  6. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Wapi iyo?
  7. M

    JamiiForums Tanzania CHADEMA tusiingie kwenye mtego wa Nchimbi na CCM yake

    2030 ni Hussein Mwinyi, ccm wanajua walivyoharibu 2025, watamtumia uyo kutokana na maendeleo anayoyaganya ZNZ.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Uteuzi: Salum Mnuna ateuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa EWURA

    Salum mnuna ni Mmoja ya wasimamizi wa mradi wa east Africa crude oil project (ecop), ni mtu mwenye usoefu na masuala ya mafuta, ameshafanya kazi katika wizara ya nishati, pia katika taasisi pbpa inayoshughulikia na uagizaji wa mafuta Kwa Tanzania. Ana uzoefu na hizo kazi Kwa iyo tutegemee neema...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Uteuzi: Salum Mnuna ateuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa EWURA

    Kwani wazanzibari sio Watanzania?
  10. M

    JamiiForums Tanzania Asanteni wana Dar es Salaam kwa kutomtii Katambi, hamjafanya biashara kama siku nyingine, ishara nchi haiko kwenye amani

    Hii ndio akili ya wapuuzi, wanaoingia hasara ni wananchi wa chini na sio hio serikali, hao viongozi hawana hasara wanayoingia Bali ni sis ambayo lazima tutoke tutafue mkate. Huu ujinga tunaumizana sisis Kwa sisi. Hebu niulize Kuna mbunge, Waziri au raisi Leo Tanzania Ambae amekosa mahitaji yake...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Wachumi: Leo Taifa limepata hasara kiasi gani? CCM siyo sifa, hiki mnafanya ni upumbavu

    Aliechochea huu ujinga wa maandamano ni ccm? Shughuli zimesimama kutokana na wafanyabiashara wanahofu ya kuingia hasara kutokana na wizi wa hao vijana wanaojiita wanaandamana.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Waziri Kombo: Raia akimrushia jiwe Polisi, general order yake inamwambia 'Attack first'

    Tanganyika haipo labda wilaya ya Tanganyika ila nchi inayoitwa hivyo haipo.
  13. M

    JamiiForums Tanzania Waziri Kombo: Raia akimrushia jiwe Polisi, general order yake inamwambia 'Attack first'

    Wacha kujizingusha " raia wa Zanzibar anaefanya kazi Tanganyika"? Huyo ni mtanzania na niwaziri wako. Hakuna nchi Wala mamlaka inayoitwa Tanganyika.
  14. M

    JamiiForums Tanzania Muungano uruhusu wawakilishi toka Tanganyika katika Bunge la Zanzibar

    Tunalinda haki zetu katika muungano kama Watanzania.
Back
Top Bottom