Recent content by Mhung

  1. M

    JamiiForums Tanzania Zanzibar mbioni kuanzisha shirika lake la ndege ''Zanzibar Airline''

    Sishangai iyo username Yako tu ni ushahidi tosha.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Sasa Maandamano na harakati zimekuwa ni za Kuidai Tanganyika

    Tanganyika ndio inautaka huu muungano, wezetu ZNZ waliupinga tokea 2000
  3. M

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Inadaiwa 69% ya wakurugenzi wa wilaya bara ni kutoka Zanzibar

    Zanzibar walidai katiba mpya tokea 2000 maalim self alipigania mpaka mwisho wa uhai wake, usiongee vitu Kwa mihemko. Huko bara mumeanza kuona umuhimu wa katiba miaka hii ya karibuni.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Inadaiwa 69% ya wakurugenzi wa wilaya bara ni kutoka Zanzibar

    Iyo takwimu Yako umeitolea wapi? Ao wazanzibari unaozumgumzia sio Watanzania?
  5. M

    JamiiForums Tanzania Sasa Maandamano na harakati zimekuwa ni za Kuidai Tanganyika

    Kwani Zanzibar sio Tanzania?
  6. M

    JamiiForums Tanzania Sasa Maandamano na harakati zimekuwa ni za Kuidai Tanganyika

    Nyerere alikurupuka
  7. M

    JamiiForums Tanzania John Heche: Tusiposikilizwa, tutaitikisa nchi kwa maandamano; Lissu aachiwe huru

    Kwanza Heche atakamatwa Kwa uchochezi wa uvunjifu wa Amani, vijana jipelekeni kimbelembele muone. Ila musijali tutawaundia tume ya uchunguzi na usuluhishi.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Psssf na nsssf zimeanzidhwa na serikali, ni Taasisi za serikali za hifadhi ya jamii, Moja husimamia waajiriwa WA private na nyengine wa public au serikali. wakuu wa Taasisi hizo ( Director general ) huchaguliwa na Raisi , domain name zao ni .go.tz zenye kumaanisha ni chombo Cha serikali na...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Zote ni za serikali.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Rais Samia tafadhali zifute hizi taasisi kwa manufaa ya umma

    Nakumbuka 2023 , Waziri prof kitila mkumbo aliainisha baadhi ya Taasisi na Mashirika kufutwa na mengine kuunganishwa. Moja wapo ni sido. Waziri alipendekeza Taasisi zinazofanya kazi Moja kama sido, camartec na Temdo ziunganishwe ili kupunguza fedha za bajeti na matumizi yasio na lazima , ila Cha...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Nikisoma kozi fupi ya OSHA itanisaidia kupata kibarua?

    Kwenye Utumishi wa umma ( serikalini), sahau icho kitu. Ila private kama una diploma au degree ( hasa hasa iwe ya engineering, environmental science) unaweza pata, ila usome nosch 1&2 kutoka osha unaajirika kama Safety officer, kozi nyengine zote za osha zinasaidia ukiwa na ajira ila kama ndio...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Bodaboda wapo tayari Kwa maandamano 7 April, 2026

    Zanzibar Ina hifadhi ya mafuta yake na bandari yake ya mafuta, bei hupangwa na mamlaka ya udhibiti nishati na maji Zanzibar ZURA.
  13. M

    JamiiForums Tanzania Bodaboda wapo tayari Kwa maandamano 7 April, 2026

    Aya madudu ya cag yanahusiana vipi na bei ya mafuta? Mafuta yanaagizwa kutoka Mashariki ya kati na Kuna shida ya njia kufungwa.
  14. M

    JamiiForums Tanzania Bodaboda wapo tayari Kwa maandamano 7 April, 2026

    Kabla ya kukurupuka , kupanda Kwa mafuta sio kosa la serikali ya Tanzania,ni ujinga alna makosa ya serikali ya Amerika na hii inaathiri Dunia nzima sio Tanzania tu
  15. M

    JamiiForums Tanzania Pole sana Tanganyika

    Zanzibar Ina mamlaka yake ya usimamizi wa maji na nishati (ZURA) , hiyo ndio hupanga bei za huduma hizo kama ilivyo ewura, pia ZNZ Ina hifadhi ya mafuta yake na bandari yake ya mafuta. Kwa hiyo Bado mafuta wanayo mengi na watumizi sio wengi.
Back
Top Bottom