Recent content by Mhung

  1. M

    John Heche: Tusiposikilizwa, tutaitikisa nchi kwa maandamano; Lissu aachiwe huru

    Kwanza Heche atakamatwa Kwa uchochezi wa uvunjifu wa Amani, vijana jipelekeni kimbelembele muone. Ila musijali tutawaundia tume ya uchunguzi na usuluhishi.
  2. M

    Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Psssf na nsssf zimeanzidhwa na serikali, ni Taasisi za serikali za hifadhi ya jamii, Moja husimamia waajiriwa WA private na nyengine wa public au serikali. wakuu wa Taasisi hizo ( Director general ) huchaguliwa na Raisi , domain name zao ni .go.tz zenye kumaanisha ni chombo Cha serikali na...
  3. M

    Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Zote ni za serikali.
  4. M

    Rais Samia tafadhali zifute hizi taasisi kwa manufaa ya umma

    Nakumbuka 2023 , Waziri prof kitila mkumbo aliainisha baadhi ya Taasisi na Mashirika kufutwa na mengine kuunganishwa. Moja wapo ni sido. Waziri alipendekeza Taasisi zinazofanya kazi Moja kama sido, camartec na Temdo ziunganishwe ili kupunguza fedha za bajeti na matumizi yasio na lazima , ila Cha...
  5. M

    Nikisoma kozi fupi ya OSHA itanisaidia kupata kibarua?

    Kwenye Utumishi wa umma ( serikalini), sahau icho kitu. Ila private kama una diploma au degree ( hasa hasa iwe ya engineering, environmental science) unaweza pata, ila usome nosch 1&2 kutoka osha unaajirika kama Safety officer, kozi nyengine zote za osha zinasaidia ukiwa na ajira ila kama ndio...
  6. M

    Bodaboda wapo tayari Kwa maandamano 7 April, 2026

    Zanzibar Ina hifadhi ya mafuta yake na bandari yake ya mafuta, bei hupangwa na mamlaka ya udhibiti nishati na maji Zanzibar ZURA.
  7. M

    Bodaboda wapo tayari Kwa maandamano 7 April, 2026

    Aya madudu ya cag yanahusiana vipi na bei ya mafuta? Mafuta yanaagizwa kutoka Mashariki ya kati na Kuna shida ya njia kufungwa.
  8. M

    Bodaboda wapo tayari Kwa maandamano 7 April, 2026

    Kabla ya kukurupuka , kupanda Kwa mafuta sio kosa la serikali ya Tanzania,ni ujinga alna makosa ya serikali ya Amerika na hii inaathiri Dunia nzima sio Tanzania tu
  9. M

    Pole sana Tanganyika

    Zanzibar Ina mamlaka yake ya usimamizi wa maji na nishati (ZURA) , hiyo ndio hupanga bei za huduma hizo kama ilivyo ewura, pia ZNZ Ina hifadhi ya mafuta yake na bandari yake ya mafuta. Kwa hiyo Bado mafuta wanayo mengi na watumizi sio wengi.
  10. M

    Nchi moja Tanzania, bei ya mafuta tofauti tofauti

    Zanzibar Kuna ZURA , mamlaka inayodhibiti nishati na maji. Wao ndio hupanga bei ya huduma hizo Kwa Zanzibar. Pia Zanzibar Ina bandari yake ya mafuta na hifadhi yake ya mafuta.
  11. M

    Ofisi ya Waziri Mkuu yaomba Tsh. Trilioni 12.5 mwaka 2026/2027

    Waziri wa fedha na gavana wa BOT wanahusiana vipi na bajeti ya ofisi ya Waziri mkuu?
  12. M

    Ofisi ya Waziri Mkuu yaomba Tsh. Trilioni 12.5 mwaka 2026/2027

    Zanzibar ipo chini ya Waziri mkuu? Acheni mihemko
  13. M

    Ninachoamini ni kwamba itachukua miaka mingi sana kwa Tanzania kuja tena kutawaliwa na Mwanamke

    Amini usiamini ata CCM hawatarudia Tena ila kosa la kumueka mgombea Raisi au makamu kuwa mwanamke.
  14. M

    Ripoti ya CAG: TANESCO kudai madeni makubwa Kwa Taasisi za serikali

    Cha kushangaza zaidi, ZNZ wananchi wananunua umeme kama ilivyo Tanzania Bara, Tsh 500 unit 1.4 , je ZECO hizo fedha wanazipeleka wapi badala ya kulipa deni? Hawana Gharama za kuzalisha umeme labda matengenezo na usambazaji maeneo machache.
  15. M

    Ripoti ya CAG: TANESCO kudai madeni makubwa Kwa Taasisi za serikali

    Shida iyo nyadhifa ya Raisi wa Tanganyika haipo.
Back
Top Bottom