Recent content by Mhongole01

  1. M

    PreGE2025 DC Kiswaga: Endapo William Lukuvi atagoma kustaafu Ubunge Isimani, wananchi tutamstaafisha kwa lazima

    Siasa ni ngumu sana kwa vijana tunaokua Kwanini aseme kustafisha wakati wajumbe wa chama ndio wanaoamua kumuondoa ama kumrudisha tena bungeni? kwanini Kiswaga asitie Nia na kufanya ushawishi wake umuondoe Lukuvi na sio kushinikiza wananchi!? Labda kama anabadili jukwaa lake la siasa 😄
  2. M

    Lugha ya picha, unaelewa nini juu ya katuni hizi ambatanishwa?

    Ahsante kwa maoni! Sanaa ni nzuri sana pale Inapoleta tafsiri hadithiwa!! Naona ni ujuzi bora sana!
  3. M

    Lugha ya picha, unaelewa nini juu ya katuni hizi ambatanishwa?

    Wanajukwaa wenzangu! Lugha ya picha imekuwa kivutio sana kwa wasomaji wa magazeti na hata mitandao ya kijamii!! Lakini je licha ya mvuto huo watu wanaelewa maana za lugha hizo hasa za mtaalamu Kipanya? Na wewe mwanajukwaa unaelewa nini juu ya katuni hizi ambatanishwa?
  4. M

    Kama kuna sehemu tulikosea kama taifa; tunaongozwa na viongozi ambao hawategemei kura zetu kuwa viongozi

    Nadhani tatizo lipo kwa raia wenyewe ambao tunaongozwa! Tumekuwa watu wenye njaa kiasi kwamba tunahitaji mtu Mwenye pesa atutoe kwenye njaa hasa kipindi cha upatikanaji wa viongozi!! Haya ni makosa ya wananchi na ndio maana viongozi na watia nią wanatumia hiyo myanya kutudharau! Na pengine ni...
Back
Top Bottom