Fadlu mechi za knock out akiwa na mtaji wa goli hata kama ni chache uchezaji wake ni ule ule unatabirika anatafuta draw.
Hii mechi ni copy and paste ya Al Ahl Tripoli
Unachotaka kueleza nakuelewa vizuri, nafikiri kurahisisha unazungumzia analysis ya watangazaji wa nje kama ambavyo marehemu Kashasha kiasi alikuwa anaifanya kwenye matukio ya uwanjani
Hii inchi watu sijui ni stress za maisha au uwelewa mdogo, hao uliowataja Simba na Yanga kukataa watangazaji wote ni wajinga, mtangazaji anaathiri vipi mpira unaochezwa? Wachezaji wala hawamsikii na hata benchi la ufundi sasa ana mchango gani kwenye final results kama sio ujinga ni nini?
Mimi...
Hivi hapo mwenyewe umesoma baada ya kuandika?
Naona una mental issues, sasa ban unaomba Simba akifunga au akifungwa? Maana heading na kilichopo ndani haviendani.
Nafikiri shida ya Simba S.C siyo kupenya midblock au lowblock kwani huo uwezo wanao na hata leo wamepenya sana
Shida ni kuwa baada ya kupenya accuracy golini inapotea kwa wamaliziaji.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.