Recent content by Mhasibu1

  1. M

    Mke wa kuoa

    Hi,j JF member. Mimi ni mwanaume natafuta rafiki wa kike baadae awe mke wa kuoa nitaeishi nae kwa miaka yote.Awe mtiifu,mkweli mwenye mapenzi ya dhati. Karibuni sana ni Pm kwa mawasiliano zaidi
  2. M

    Mimi ni mlemavu, mwajiriwa natafuta mke wa kuoa

    habarizenu! mbonasipati maonienu?
  3. M

    Mimi ni mlemavu, mwajiriwa natafuta mke wa kuoa

    Thnx 4 ur gud advice 2 me
  4. M

    Mimi ni mlemavu, mwajiriwa natafuta mke wa kuoa

    mbona kimya wadauwangu,
  5. M

    Mimi ni mlemavu, mwajiriwa natafuta mke wa kuoa

    mimi nimlemavu waviungo yani miguu, kwahiyo wkinadada naomba mnisapoti
  6. M

    Mimi ni mlemavu, mwajiriwa natafuta mke wa kuoa

    Mimi ni mwanaume wa miaka 30 pia ni mlemavu Viungo(miguu) ninatafuta mke wakuoa, ninaishi mkoa wa pwani napia nimwajiriwa ktk taasisi fulani, nikimpata huyo mke nitampenda kwa dhati ewe mwanamke kama upo tayar ni pm pia weka namba ya simu,nitashukuru sana kumpata huyo Mwanamke,
  7. M

    Nahitaji mchumba wa kuoa

    Mimi nafanyakazi yakujiajiri, nipo Dar nahitaji mchumba wakuoa.
  8. M

    Natafuta mwanamke wa kuzaa nae

    Habari, Natafuta mwanamke wa kunizalia mtoto,umri wangu ni 30, nitamtunza na kutimiza mahitaji yake yote. Alie Tayari ani pm ilikufikia lengo hilo mimi npo Dar.Awe na miaka 24 mpk 32. Karibu sana
  9. M

    Natafuta rafiki wa kike ambae atakua na malengo ya kuoana baada ya kufahamiana

    Habari, Kwa jina naitwa Carlson mwenye umri wa miaka 28, natafuta rafiki wa kike ambae tutakua na ndoto za kuoana baada ya kufahamiana. Mimi nipo chuo mwaka wa pili umri wake awe na miaka 25-28. Sina ubaguzi wa rangi,dini, wala kabila, elimu yake kuanzia kidato cha sita kama upo tayari ni pm...
Back
Top Bottom