Hivi inachukua muda gani moderator kuapprove account yako? Ahsanteni kwa kujumuika nanyi kwenye jamvi hili la maarifa
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari zenu wadau wa JF.
Nakuja mbele zenu kama mwanachama mpya kabisa katika platform hii nzuri kabisa. Naomba mnipokee na kunipitisha katika corridor zenu za hapa nyumbani JF.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.