WANAWAKE WADADA WENGI SAIVI WANAENDA MP ZAO KWA MIEZ MITATU ANAEZA KUONA MARA MOJA AU AKAONA KWA MWEZ MARA MBILI HADI TATU AU ASIONE KABISAAA. SASA HILI NALO JANGA KWA AFYA YA WAKE ZETU DADA ZETU.
Je nini sababu na lipi suluhisho?
Mungu ni mwema mwaka wapili chuoni nikanunua kimjengo changu kikiwa kimeisha ujenz woote na nikaishi na wapangaj wangu wawili . Sjawah kupanga na nyumba yangu nyumbani kwetu waliifaham baada ya kumaliza chuo
Jibu ni dogo kaka, wewe soon unakua mtu muhimu na wakutegemewa kimaisha, kama ni uongo utanitafuta. Achana na hofu ndoto huja kinyume, kaaakwa amani mtukuze mungu mafanikio yanakuja, ukikaa na mwenye manukato nawe utanukia, aliekupaka hayo manukato ndio dira yako ya kunukia. Vibaya angekupaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.