Recent content by Mgweno Hamisi

  1. Mgweno Hamisi

    Ogopa sana mtu wako ana ma X kama 7 halafu wote aliachana nao kiamani yaani bado anawasiliana nao

    JANATU X WANGU KANIPIGIA SIMU AKINISIFIA NIMEPENDEZA , ALIONA PCHA YANGU FB.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  2. Mgweno Hamisi

    Maswali kuhusu Taulo za Kike zinazotolewa bure

    WANAWAKE WADADA WENGI SAIVI WANAENDA MP ZAO KWA MIEZ MITATU ANAEZA KUONA MARA MOJA AU AKAONA KWA MWEZ MARA MBILI HADI TATU AU ASIONE KABISAAA. SASA HILI NALO JANGA KWA AFYA YA WAKE ZETU DADA ZETU. Je nini sababu na lipi suluhisho?
  3. Mgweno Hamisi

    Msaada: Nimekuwa na uraibu na mtandao

    Uza smart phone zoote baki na kutoch
  4. Mgweno Hamisi

    Kwa wale waliowahi kutunza siri nzito kwa muda mrefu tukutane hapa

    Staweza kusema hata sikumoja kua heri kuchagua ANDAZI Kuliko .C.M
  5. Mgweno Hamisi

    NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Na ishu ya makato ya benk inatofaut gani na account hizo za kawaida kwa mwezi?
  6. Mgweno Hamisi

    Ulianzaje kukaa gheto?

    Mungu ni mwema mwaka wapili chuoni nikanunua kimjengo changu kikiwa kimeisha ujenz woote na nikaishi na wapangaj wangu wawili . Sjawah kupanga na nyumba yangu nyumbani kwetu waliifaham baada ya kumaliza chuo
  7. Mgweno Hamisi

    NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    NAOMBA KUJUA TOFAUTI YA NMB CHAP CHAP ACCOUNT NA ZILE NMB ACCOUNT ZINGINE, TAFADHALI
  8. Mgweno Hamisi

    NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Nataka kufungua account kesho alihamis. Je nije na nini na nini ili kesho hio hio nifungue account?
  9. Mgweno Hamisi

    Nahitaji fundi simu mwaminifu na mtulivu kwenye kazi yake, anayeijali kazi yake na ya mteja

    Tatzo napenda kkoo maana hata kweny suala la kupata spea ni rahis madukani kkoo
  10. Mgweno Hamisi

    Nahitaji fundi simu mwaminifu na mtulivu kwenye kazi yake, anayeijali kazi yake na ya mteja

    Fundi simu anahitajika. Awe K/Koo, Dar. Weka namba, kikubwa soma tangazo langu.
  11. Mgweno Hamisi

    Wauza smartphone tukutane hapa

    A20 galaxy Single line Japan made 200k 0657101726
  12. Mgweno Hamisi

    Naomba ushauri kuhusu ndoto hii

    Jibu ni dogo kaka, wewe soon unakua mtu muhimu na wakutegemewa kimaisha, kama ni uongo utanitafuta. Achana na hofu ndoto huja kinyume, kaaakwa amani mtukuze mungu mafanikio yanakuja, ukikaa na mwenye manukato nawe utanukia, aliekupaka hayo manukato ndio dira yako ya kunukia. Vibaya angekupaka...
  13. Mgweno Hamisi

    Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

    Naomba kupata fundi wa kufunga dish za startimes aliyeko buyuni chanika. 0787101726
Back
Top Bottom