Recent content by Mgung

  1. M

    Msaada interview za Jeshi la Magereza

    [emoji120][emoji120][emoji120][emoji1320]
  2. M

    Msaada interview za Jeshi la Magereza

    Lakini issue ni kwamba yale majina yaliotoka kuna watu hawatoripoti kuna jamaa wameenda MSATA,halafu na huku magereza nako kapata ko wameenda msata
  3. M

    Msaada interview za Jeshi la Magereza

    LONJA...magereza wataongeza nafasi...jiandaeni wadau ambao bado hamjabahatika Sisi wengine tukutane jumamos inshaallah tukapambane ALL THE BEST BEST WADAU MNAOENDELEA KUOMBA HIZI NAFASI.....never give up[emoji1320][emoji1320] TUOMBEANEEE[emoji120][emoji120]
  4. M

    Msaada interview za Jeshi la Magereza

    point hii[emoji4][emoji4] MCHAWI DAMUUU
  5. M

    Msaada interview za Jeshi la Magereza

    Ahaaaaa hapo nimekuelewa kaka....ngoja tuingie tuu itafahamika mbele kwa mbele
  6. M

    Msaada interview za Jeshi la Magereza

    [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]......jamaa umenifanya nimecheka sana....anayway hatulijui kaka ila njaa tuu LAKINI MUNGU NI MWEMA TUTAMALIZA SALAMA TUU
  7. M

    Msaada interview za Jeshi la Magereza

    MCHAWI DAMU[emoji38][emoji38][emoji38]
  8. M

    Msaada interview za Jeshi la Magereza

    Yes kaka mungu ni mwema tutamaliza salama
  9. M

    Msaada interview za Jeshi la Magereza

    upigaji mzee siunajua bongo hii
  10. M

    Msaada interview za Jeshi la Magereza

    Ila ni sisi tuliopo hapa daresalam ndio linawahusu hilo tangazo....ukitaka maelekezo kamili mcheki huyu afande ndio ameachiwa ofisi leo pale reception [emoji1313][emoji1313]
  11. M

    Msaada interview za Jeshi la Magereza

    maafande watarajiwa nimetoka ukonga maelekezo ndio hayoo na tunatakiwa kesho asubuh tuelekee pale na nauli yako mfukoni ili tukaandikishwe majina kwa ajili ya Safari na maelekezo mengine yote tutapewa Kesho inshaallah
  12. M

    Msaada interview za Jeshi la Magereza

    Mimi ni mujibu, MrGeneous pia ni mujibu inshort mujibu ni wengi sana tuu
  13. M

    Nafasi za kazi Idara ya Uhamiaji (470)

    Mungu ni mwema kaka,,,atafungua njia TUZIDI KUOMBA TUU[emoji120][emoji120]
  14. M

    Msaada interview za Jeshi la Magereza

    hapana sikuomba uhamiaji
Back
Top Bottom