Kama ulifuatilia mjadala vizuri, utagundua kuwa Zitto alimwokoa mkuu wa kaya (Baba mkwe wake) maana move ilikuwa ni kuipigia serikali vote ya kutokuwa na imani, kwa ujanja kabisa ambapo ni watu wachache wanaweza wakagundua, Zitto akafanikiwa kupindisha move na kuielekeza kwa Pinda. Halafu kwa...