Recent content by mgagani2014

  1. mgagani2014

    Vyakula gani sipaswi kula endapo nina tatizo la acid reflux?

    OGD nakifahamu vizur yan ila namna ya upimaji wake ndio umenishinda yan nilimpelekaga mshua kupima asee ye mwenyewe alishindwa hadi wakampiga sindano ya usingizi 😄. Ngoja nikapime tu bacteria H pyrol
  2. mgagani2014

    Vyakula gani sipaswi kula endapo nina tatizo la acid reflux?

    Pia naomba kuuliza. Parachichi Apple Ndizi mbivu Wali Ugali Nyama Maziwa mtindi Maziwa fresh(boxed like asas and first choice) Wine. Mayai ya kukaanga au kuchemsha Vitu gani Kati ya hivi sipaswi kutumia kabisa? Maana nasumbuliwa na acid reflux na tumba kujaa ges. MWENYE UFAHAMU NAOMBA ANIJUZE...
  3. mgagani2014

    Tiba ya Gastroesophageal Reflux Disease (GERD)

    Dawa ipi hiyo mkuu. Nijuze
  4. mgagani2014

    Naomba ufafanuzi juu ya faida ya maziwa ya mgando na maziwa fresh

    Vyakula gani vyenye acid na matunda gani pia yana acid? Maana acid inanisumbua hadi mgongo unaniuma.
  5. mgagani2014

    Naomba ufafanuzi juu ya faida ya maziwa ya mgando na maziwa fresh

    Vyakula gani vyenye acid na matunda gani pia yana acid? Maana acid inanisumbua hadi mgongo unaniuma.
  6. mgagani2014

    Naomba ufafanuzi juu ya faida ya maziwa ya mgando na maziwa fresh

    Mie nipo nnje ya mada kidogo. Namba msaada anaefahamu dawa ya kumaliza tatizo la vidonda vya tumbo. Vinanisumbua mno hadi kupelekea hadi mgongo pia kuuma na kuwa kama mtu anachoma sindano hiv.
  7. mgagani2014

    Juice ya kabichi

    OGD daah upimaji wake ulinishinda kabisa yan. Ile camera kuingizwa kooni duuh.
Back
Top Bottom