Sijui rafiki huenda una talanta zaidi au unapenda sana kujifunza, unafurahia kujifunza vitu vingi mbalimbali na unafanikiwa kufanya vitu hivyo....kupelekea watu kukusifia .....Hongera sana rafiki👏👏♥️
Rafiki usiruhusu changamoto ulizonazo zikuzuie kutimiza kusudi la Mungu aliloweka ndani yako....
uhalisia ambao hutaki kukubali ni kwamba, pamoja na changamoto zote uzipitiazo still kusudi la Mungu lililopo ndani yako ni wewe kushangaza dunia!!!
Nikwambie kitu rafiki? kwa dakika moja fumba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.