Recent content by MfisadiMkuu

  1. M

    British Embassy wanavyotu sabotage

    UK imeshafanya vitu vyake Saudia (Defense Contract) itakua Tz. Tz ni sawa na kunyag'anya lawalawa/pipi/peremende kwa mtoto.
  2. M

    Watanzania 160 wanyongwa China jana

    Tanzania pia inapaswa kwanyonga Wachina wanaokamatwa na nyara za serikali. Ni wengi tu
  3. M

    Hii tuiita ni tax au trekta.

    Arusha 2015. Waarusha watatimua vumbi na Wachagga kutawala jiji kisiasa. Waarusha amkeni kudefend jiji lenu la sivyo mtajikuta mnapambana na waloliondo kwa kipisi cha ardhi
  4. M

    Ijue Zanzibar katika picha za kale

    Hii ilikuwa siyo smuggling mkuu, kwa sababu waqti ule ilikuwa rukhsa kutrade hiyo commodity
  5. M

    Makamanda wa baadae wa Chadema

    ha haaa !! Jamani jamani watanzania tunaelekea pabaya. Hawa watoto ni innocent bado wala hawajui ugumu ya maisha, hii ni mida ya michezo na maburudiko sio kujitosa kwenye uwanja wa mapambano wa kisiasa.Mie naona ni kama child abuse ati. kisheria mwananchi anaruhusiwa kupiga kura akiwa na mika 18...
  6. M

    Wahindi na Waarabu wa Tanzania ni Wabaguzi

    Haya maneno yaku yanasikitisha sana maana serikali ya Tanzania ni ya mfumo wa vyama vingi no sio CCM tu. Kama cjama cha FF imeshindwa mbona usipeleke madai yako kwa mbunge wako au kwa mwanasiasa amabaye siye wa CCM kuliko kumsuta FF amabaye ana haki ya kuwa mwanachama wa chama yeyote...
  7. M

    Wahindi na Waarabu wa Tanzania ni Wabaguzi

    Ahh jamani tusizuushe maneno tu bila ukweli. Mimi sina fahamu kwamba sera za India kwa Tanzania ni kuharibu maendeleo ya hospitali zetu. kama huelewi mkuu kuna lions club amabayo memba wao wengi ni wahindi na wanawasaisdia Watanzania wengi katika basic healthcare (hata mpaka kwenye...
  8. M

    Wahindi na Waarabu wa Tanzania ni Wabaguzi

    Siku mkiuumwa mnakimbilia India ati, mbona hapo mnasahau ubaguzi na kwenda kuwapapatikia hawo ambao nyie mnawachukia. Kuna tofauati baina ubaguzi na mila. Kama wahindi wangewakatalia nyiwe kutibiwa India ndo hapo mseme mebaguliwa sio kuleta uzushi kwenye mazishi ya watu.
Back
Top Bottom