Recent content by mfikwa festo

  1. M

    Nimejaribu kuwa uliza Bodi ya Mikopo, na hili ndilo jibu lao

    Mfano mim kwa majina ya mwanzo jina langu kat ya yaliyobandikwa chuon na langu lilikuwepo sasa kuna mengine yalotoka juz kiujumla na langu halimo hata sahv kwny ac inaandika not alctd na wakat mwanzo ilikuwa loan break down
  2. M

    Mada maalum: Karibu tujadili masuala yote kuhusu Mikopo ya Elimu ya Juu

    Daaaaa imenikuta hyo na mim bt jina langu chuon lilikuwepo na nilisha sign
  3. M

    TCU mtatuua kwa presha

    Sema ndo hvo unakuta capacity ya chuo katika fakat flan may be civl engeneering ni wanafunzi 90 na waliojaza first priority ni wanafnz 3000 haxa hapo y usiwe na prexha jmn!!
Back
Top Bottom