Recent content by Mfikirishi

  1. Mfikirishi

    JamiiForums Tanzania Ufafanuzi wa kina juu ya uwepo wa Abdul Hafidhi katika msafara na ziara ya Rais Samia na nafasi yake

    Anawanyonya WaTanganyika
  2. Mfikirishi

    JamiiForums Tanzania Naamini kwa dhati maudhi na chokochoko za sasa za Wa-Zanzibar ni kutaka kuwaudhi wa-Tanganyika ili muungano uvunjwe. Hatutauvunja Muungano ng'o!

    Muungano unaomfanya Mzanzibari awe bora juu ya Mtanganyika una faida gani? Yaani Muungano chake chake chako chenu ndo Muungano hamtaki kufunja? WaTanganyika mnasikitisha sana!
  3. Mfikirishi

    JamiiForums Tanzania Watanzania tunaabudu sana viongozi, inatumaliza

    Uduni wa Elimu... Imefikia kipindi nachukia maneno Doctor na Mheshimiwa
  4. Mfikirishi

    JamiiForums Tanzania Wapinzani wa Afrika na siasa za majitaka kunavyowafelisha

    Samia mwenyewe alisema hivyo!
  5. Mfikirishi

    JamiiForums Tanzania Nakubaliana na John Heche hayati JPM alikuwa serious kudhibiti uzembe na ufisadi. Na ninaongezea asingethubutu kutembea na mtoto kama tunavyoshuhudia

    Watu wa JPM ndani ya ccm wanafurahi mtu wao akitajwa tajwa... Hivyo chama chochote makini lazima kijue hiyo fursa
  6. Mfikirishi

    JamiiForums Tanzania Rais Samia aulizwa “Utafanya nini kukabiliana na vikwazo, Tanzania ikifanya biashara na Urusi”. Yeye ajibu “Hatuna Vikwazo vyovyote”

    Kwenye DNA test nakataa. Msiwakatae watoto. Dunia inahitaji watu na hawanunuliwi wanazaliwa. Mimba zishikwe... Watoto wazaliwe...walelewe...wasomeshwe vizuri... Kwenye Aptitude test nakubali!
  7. Mfikirishi

    JamiiForums Tanzania Rais Samia aulizwa “Utafanya nini kukabiliana na vikwazo, Tanzania ikifanya biashara na Urusi”. Yeye ajibu “Hatuna Vikwazo vyovyote”

    Next ataenda China, Korea Kaskazini, Iran, Palestine, Oman, Qatar, Uganda. Birds of the same feathers flock together!
  8. Mfikirishi

    JamiiForums Tanzania Mwigulu anatumia matatizo ya wananchi kujijenga kibinafsi ingawa mbinu hii ni zilipendwa! Anatamani matatizo ya watu yawe mengi!

    Hizo ni dalili za ujinga... Kwenye nchi ya watu zaidi ya 60M tegemea kuwa wenye matatizo kama hayo yanayopelekwa kwa viongozi wa kisiasa ni wengi... Kiongozi makini angejitahidi kudeal na mifumo iliyofeli kutatua matatizo ya WaTanganyika! Unasolve tatizo la mtu mmoja mbele ya camera alafu...
  9. Mfikirishi

    JamiiForums Tanzania Mwigulu anatumia matatizo ya wananchi kujijenga kibinafsi ingawa mbinu hii ni zilipendwa! Anatamani matatizo ya watu yawe mengi!

    Nachukia sana viongozi wanaojipendekeza kutatua matatizo ya baadhi ya wananchi nje ya mifumo iliyopo...tena mbele ya camera... Huo ni upendeleo wa wazi! Kama wanajali kiasi hicho ni kwanini wasibadilishe, kuwezesha au kuboresha mifumo iliyopo ili kila mmoja anufaike equally? Ila nawachukia...
  10. Mfikirishi

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Waandishi wa Habari wa Urusi walinisalimia “Mama Samia Shikamoo”, jambo linaloonesha kuenea kwa Kiswahili

    Mbona hao waandishi hawakuoneshwa na vikamera vyao?
  11. Mfikirishi

    JamiiForums Tanzania Kile kikao kilichopindisha utaratibu wa chama kumbe ni "Yuda" alijipanga, akashtukiwa na kupewa cha namba 2 ili kummaliza kabisa

    Main objective ni ccm idondoke! Let's focus on that
  12. Mfikirishi

    JamiiForums Tanzania Nchi imeshaenda Kombo: Ninachoamini Nchimbi ni Smart Guy hamtoweza kumsikia akiingia kwenye mjadala wowote

    Main objective ni ccm idondoke! Let's focus on that.
  13. Mfikirishi

    JamiiForums Tanzania Wapemba Wameamua kama Mbwai na iwe Mbwai

    Damu ni nzito kuliko maji
Back
Top Bottom