Recent content by Mfikirishi

  1. Mfikirishi

    JamiiForums Tanzania Kuhusu Godbless: Napingana na wengi, siungi mkono mashambulizi dhidi yake

    For now just keep connecting the dots... Kama yupo hivyo ni suala la muda tu! Tatizo lenu mnashindwa kufanya timing hadi mnawashtusha hao mnaowafuatilia! Mbona kwa Mbowe yanaendelea kutimia? He is more associated with SSH than TAL!
  2. Mfikirishi

    JamiiForums Tanzania Kuhusu Godbless: Napingana na wengi, siungi mkono mashambulizi dhidi yake

    Tatizo la wanaharakati wanajifanya sana wao ni watakatifu! Hivi mtu muovu akifiwa, akipewa pole kuna shida gani? Yaani Lissu au Lema kutoa pole kwa muuaji ni tatizo? Hivi siku upinzani wakichukua madaraka wanataka kutuaminisha kuwa watakuwa hawahudhurii kwenye misiba ya wapinzani wao? Njia...
  3. Mfikirishi

    JamiiForums Tanzania Jamhuri imeshindwa kuthibitisha makosa ya Uhaini imebaki kujadili HOJA BINAFSI za mashahidi

    Jamaa hawana aibu kabisa! Kifupi wana-buy time kina machawa wa SSH waendeleze uporaji.
  4. Mfikirishi

    JamiiForums Tanzania Rais wa MAT: Magari matano ya kuyapisha Barabarani.

    Madaktari wa wapi hao? Hivi ushafikaga hospitali? Hayo maandalizi yaguse wote... Barabara zijengwe kwa kitanguliza akili si uchawa!
  5. Mfikirishi

    JamiiForums Tanzania Baada ya CDF IGP DCI Kuwasilisha ushahidi wao mahakamani Tundu Lisu akate rufaa ya kuomba PM VP na Mh Rais Kuja mahakamani kosa la uhaini ni zito

    Yaani siku yule elimu mbalimbali akitinga mahakamani Dunia yote itasimama imsikilize!
  6. Mfikirishi

    JamiiForums Tanzania Rais wa MAT: Magari matano ya kuyapisha Barabarani.

    Sasa gari la mgonjwa linawahi wapi ikiwa Daktari kakwamishwa kwenye foleni?
  7. Mfikirishi

    JamiiForums Tanzania Rais wa MAT: Magari matano ya kuyapisha Barabarani.

    Ebu fikiria kwani gari la mgonjwa linawahi wapi ikiwa Daktari kakwama kwenye foleni?
  8. Mfikirishi

    JamiiForums Tanzania Kusema Majaji ni maCCM ndiyo kauli mbaya kuliko zote kwenye kesi ya Mh. Lissu

    TAL is a real change maker!
  9. Mfikirishi

    JamiiForums Tanzania Mwachieni Nchimbi mambo ya kuwekana vizuizini ni mambo ya kishamba

    ccm ni genge la majambazi... Kila mmoja anamlia timing mwenzake!
  10. Mfikirishi

    JamiiForums Tanzania Nimeumizwa sana na Kifo cha Mume wa Rais Samia hadi kushindwa kutulia Wiki nzima. Watanzania Tumuombee Rais wetu katika kipindi hiki kigumu

    Mke mwenzako keshapata tulizo... Vipi wewe bado unaumizwa?? #Kifo ni kifo tu!
  11. Mfikirishi

    JamiiForums Tanzania Kwa ujinga huu wa mashahidi wa LISSU na CHADEMA kuna mtu anakwenda kuhukumiwa kunyongwa

    Kama ndivyo si waruhusu SSH aende kujibu maswali mahakamani?
  12. Mfikirishi

    JamiiForums Tanzania Mwanamke wa Kislam akiwa eda anaruhusiwa kukumbatiwa hadharani?

    Hiyo picha baada ya muda itapigwa marufuku
  13. Mfikirishi

    JamiiForums Tanzania Mama Samia jitathmini unaoenekana haupo sawa kabisa. Uoga uliopitiliza huwaamini hata VP wako?

    Huko tuendako hiyo picha itabigwa marufuku
  14. Mfikirishi

    JamiiForums Tanzania Kwa ushahidi wa mh. Heche, naamini ukiwa CCM unabadilika na kuwa si binadamu kamili

    Hadi sasa mfumo wa ccm umefanikiwa kuleta mapinduzi kwenye fikra na matendo ya wanachama wake. Kwa sasa kuna mabwanyenye, machawa na walalahoi/hamnazo pangu pakavu tia mchuzi!
Back
Top Bottom