Sug
Kwa Tanzania Siasa ni mtaji wa wengi kujilimbikizia mali...
Kuna wengi wanamiliki vingi!
Wakati tunapata Uhuru matarajio yalikuwa kutumia rasilimali za Taifa kuendeleza wananchi!
Miaka 65 baadae, focus imepotea. Wajanja wachache wanajinufaisha kwa mgongo wa nchi kuwa huru!
Tuendako...
Nashukuru umeona hilo!
Mechi nyingi za AFCON'27 zitachezwa Fumba na Amaan Unguja!
Kifupi Wazanzibari wameamua kujibrand!
WaTanganyika punguzeni matarajio!
Kuhusu jina, tayari zile mbwembwe za kuita uwanja wa Arusha SAMIA zimeisha!
Yaani serikali iue watu mamia kwa maelfu!
Ipore uchaguzi!
Ijipachike madarakani bila ridhaa ya wananchi!
Iunde tume kujichunguza!
Ifiche mchakato wa maoni ya waathiriwa wa mauaji...!
Alafu serikali hiyo hiyo iandae utaratibu wa maridhiano na watu wale wale iliyowadhulumu!🤔🤔🤔
Yaani kwa akili ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.