Muungano unaomfanya Mzanzibari awe bora juu ya Mtanganyika una faida gani?
Yaani Muungano chake chake chako chenu ndo Muungano hamtaki kufunja?
WaTanganyika mnasikitisha sana!
Kwenye DNA test nakataa. Msiwakatae watoto. Dunia inahitaji watu na hawanunuliwi wanazaliwa. Mimba zishikwe... Watoto wazaliwe...walelewe...wasomeshwe vizuri...
Kwenye Aptitude test nakubali!
Hizo ni dalili za ujinga...
Kwenye nchi ya watu zaidi ya 60M tegemea kuwa wenye matatizo kama hayo yanayopelekwa kwa viongozi wa kisiasa ni wengi... Kiongozi makini angejitahidi kudeal na mifumo iliyofeli kutatua matatizo ya WaTanganyika!
Unasolve tatizo la mtu mmoja mbele ya camera alafu...
Nachukia sana viongozi wanaojipendekeza kutatua matatizo ya baadhi ya wananchi nje ya mifumo iliyopo...tena mbele ya camera... Huo ni upendeleo wa wazi!
Kama wanajali kiasi hicho ni kwanini wasibadilishe, kuwezesha au kuboresha mifumo iliyopo ili kila mmoja anufaike equally?
Ila nawachukia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.