For now just keep connecting the dots... Kama yupo hivyo ni suala la muda tu! Tatizo lenu mnashindwa kufanya timing hadi mnawashtusha hao mnaowafuatilia!
Mbona kwa Mbowe yanaendelea kutimia? He is more associated with SSH than TAL!
Tatizo la wanaharakati wanajifanya sana wao ni watakatifu! Hivi mtu muovu akifiwa, akipewa pole kuna shida gani?
Yaani Lissu au Lema kutoa pole kwa muuaji ni tatizo?
Hivi siku upinzani wakichukua madaraka wanataka kutuaminisha kuwa watakuwa hawahudhurii kwenye misiba ya wapinzani wao?
Njia...
Hadi sasa mfumo wa ccm umefanikiwa kuleta mapinduzi kwenye fikra na matendo ya wanachama wake.
Kwa sasa kuna mabwanyenye, machawa na walalahoi/hamnazo pangu pakavu tia mchuzi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.