Recent content by Mfikirishi

  1. Mfikirishi

    JamiiForums Tanzania Napendekeza Tundu Lisu aachiwe huru kwa mujibu wa sheria, akamatwe tena na kufunguliwa mashtaka upya yenye ushahidi mpya uliothibishwa.

    Bahati nzuri ni kuwa hakuwepo uraiani! Labda kama wafungwa pia mliwapiga shaba za moto! NB: shtukeni. Mnapambana na MUNGU mwenyewe
  2. Mfikirishi

    JamiiForums Tanzania Chief Odemba ambana na var Dorothy Semu wa ACT Wazalendo/aishia kusema no comment

    Khalifa Said kutoka the Chanzo. Lakini ukweli ni rahisi sana kusema!
  3. Mfikirishi

    JamiiForums Tanzania Mzani wa Sheria: Dkt. Kaijage (UDOM) Gerezani kwa Ugaidi, Sheikh Mwaipopo Huru Pamoja na Vikosi vya "Mbwa Mwitu"?

    Dr. Kaijage alikosea nini hadi awe gaidi?
  4. Mfikirishi

    JamiiForums Tanzania Huyu Mwamposa huwa anaachwa na Serikali ya CCM kwakuwa ni ‘chawa’ wao? Hadi Mahakama ipo kimya?

    Ngoja watu wakauziwe maji!
  5. Mfikirishi

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Lissu, mawakili wa serikali wabadili gia angani, wafunga ushahidi tofauti na ahadi yao ya kuileta mashahidi waliokuwa wamebaki

    Ndiyo ... Apewe fidia! Siku zaidi ya 400 ni nyingi sana! Hofu yangu ni kuachiwa na kukamatwa tena!
  6. Mfikirishi

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Lissu, mawakili wa serikali wabadili gia angani, wafunga ushahidi tofauti na ahadi yao ya kuileta mashahidi waliokuwa wamebaki

    Mashahidi ni watuhumiwa waliofutiwa kesi ili wawe upande wa mashitaka! Ila Katuga na Mbilinge ni wa ovyo sana.
  7. Mfikirishi

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Lissu; Mashihidi upande wa mshitakiwa tuanze na Samia

    Hao mpaka waje mahakamani ni miaka 3-5 mbele. Lissu yeye akomae hana kesi ya kujibu! Aombe fidia na adhabu kwa wazushi
  8. Mfikirishi

    JamiiForums Tanzania Hivi zile porojo za akina Ted Cruz wa seneti ya Marekani na David McAlister wa bunge la Ulaya dhidi ya Tanzania huru ziliishia wapi?

    Kaa kwa kutulia... Bado mnaingizwa mkenge muibiwe vizuri alafu kibano kije na uthibitisho wa rushwa zenu pia!
  9. Mfikirishi

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Makala ya kiuchunguzi ya CNN iliyotengenezwa na Larry Madowo kuhusu mauaji ya Watanzania Oktoba 29, yashinda tuzo huko Atlanta, GA, Marekani.

    Pongezi za dhati kwa Larry Madowo... Amefanya kazi ya kinabii kabisa! Yule girishoni wa samia anauwezo mdogo sana wa kukanusha mambo!
  10. Mfikirishi

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Lissu, mawakili wa serikali wabadili gia angani, wafunga ushahidi tofauti na ahadi yao ya kuileta mashahidi waliokuwa wamebaki

    Mashahid genuine walikuwa ni wale maaskari na mtangazaji wa Jambo TV ambaye hakufichwa taarifa zake... Wengine wote walioomba kufichwa walikuwa ni mtu yule yule mmoja. Kina Yericko Nyerere walikula kona!
  11. Mfikirishi

    JamiiForums Tanzania Kilichomponza mhadhiri ‘gaidi’ wa UDOM ni hiki hapa

    Wote wanaomtumainia MUNGU... Wanaotenda mema na mienendo minyoofu ni WATAKATIFU Kwa uchache 1. Soma Zaburi 30:4; 34:9; 2. Soma 1 Petro 1:16 3. Soma Waroma 12:1 MUNGU ni MTAJATIFU... Watu wake pia ni WATAKATIFU
  12. Mfikirishi

    JamiiForums Tanzania Jiji la Dar es salaam linatakiwa kuwa na stendi 7 au 8

    Hizo stendi zilizojengwa kila mkoa, wilaya zina faida gani kiuchumi?
Back
Top Bottom