Recent content by Mfikirishi

  1. Mfikirishi

    Mtumishi wa Umma anayedaiwa kuwa mwadilifu anapata wapi uwezo wa kujenga Hotel ya Namna hii?

    Sug Kwa Tanzania Siasa ni mtaji wa wengi kujilimbikizia mali... Kuna wengi wanamiliki vingi! Wakati tunapata Uhuru matarajio yalikuwa kutumia rasilimali za Taifa kuendeleza wananchi! Miaka 65 baadae, focus imepotea. Wajanja wachache wanajinufaisha kwa mgongo wa nchi kuwa huru! Tuendako...
  2. Mfikirishi

    Tanzania bado ni nchi ya wakulima na wafanyakazi?

    Si kweli... Kuzikwa kwa Azimio ndiko kulikozika jembe na nyundo! Hata bendera ya ccm siyo relevant tena!
  3. Mfikirishi

    Tetesi: Brenda William Lukuvi kugombea ubunge jimbo la Isimani

    Hivi wanagombea au wanateuliwa?
  4. Mfikirishi

    Stephen Wasira: CCM tuna matatizo ya kupata mbadala

    Oooh ccm unasahau kwamba uongozi ni generational... Muda ukifika umefika! Wapishe wengine!
  5. Mfikirishi

    Wassira: Lukuvi alijiunga TANU 1954

    Umri huo ni hatari hata kumuweka karibu na vitukuu!
  6. Mfikirishi

    Kuna uwezekano wa uwanja wa Arusha usipewe jina la Samia?

    Nashukuru umeona hilo! Mechi nyingi za AFCON'27 zitachezwa Fumba na Amaan Unguja! Kifupi Wazanzibari wameamua kujibrand! WaTanganyika punguzeni matarajio! Kuhusu jina, tayari zile mbwembwe za kuita uwanja wa Arusha SAMIA zimeisha!
  7. Mfikirishi

    Kuelekea AFCON 2027: Kuanzishwe dalaladala na Mwendokasi VIP

    Mechi nyingi zitachezwa Fumba na Amaan Unguja WaTanganyika punguzeni matarajio!
  8. Mfikirishi

    Kuelekea AFCON 2027: Kuanzishwe dalaladala na Mwendokasi VIP

    Mechi nyingi zitachezwa Fumba na Amaan Unguja WaTanganyika punguzeni matarajio!
  9. Mfikirishi

    Prof. Shemdoe: Mkandarasi anayejenga barabara kuelekea Uwanja wa AFCON 2027 Arusha hataongezewa muda

    Huo uwanja nawaambia utadhoofishwa kwa maslahi mapana ya uchumi wa Zanzibar! Mechi nyingi zitachezwa Fumba Unguja kuliko Olmoti Arusha!
  10. Mfikirishi

    Stephen Wasira: Walioanza harakati za Urais 2030 wamezungumza na Mungu kwamba watakuwepo?

    Tukae mkao wa kusubiri hema za matanga!
  11. Mfikirishi

    Makonda aonya Wanasiasa wanaolenga Urais 2030, aahidi kuwashughulikia wanaomsaliti Rais Samia

    Yaani, anakuwaje kiongozi ilhali mwenyewe hawezi kujiongoza?? Mdomo unatema uchafu kila akiufunua!
  12. Mfikirishi

    Paschal Mayala: CHADEMA wajishushe, wakubali maridhiano

    Kwanza maridhiano ya nini? Na nani? Ili iweje? Yana andaliwa/kusimamia na nani?
  13. Mfikirishi

    Paschal Mayala: CHADEMA wajishushe, wakubali maridhiano

    Yaani serikali iue watu mamia kwa maelfu! Ipore uchaguzi! Ijipachike madarakani bila ridhaa ya wananchi! Iunde tume kujichunguza! Ifiche mchakato wa maoni ya waathiriwa wa mauaji...! Alafu serikali hiyo hiyo iandae utaratibu wa maridhiano na watu wale wale iliyowadhulumu!🤔🤔🤔 Yaani kwa akili ya...
  14. Mfikirishi

    Hilda Newton: Hili liwe funzo kwa Mafwele na genge lake. Christopher Bagenyi kunyongwa hadi kufa

    Si Bora kwa sasa wana huo udhaifu wa kuweka vilio! Nyakati zinakuja vilio vitakoma. Utaratibu utakuwa ni jino kwa jino!
Back
Top Bottom