Tafsiri yake ni mmomonyoko wa maadili uliochangiwa kwa kiasi kikubwa na utandawazi, watoto wa siku hizi wanajua mambo mengi na makubwa yanayoendelea duniani ambayo mengine hayaendani na umri wao. Na kibaya zaidi wazazi, jamii na hata taifa kwa ujumla hawajui/wanapuuza bila kujali kama mambo hayo...
Lakini nasikia wanawake wa Tanga wamekalia kuwahudumia wanaume tu, kwenye masuala ya kushirikiana kutafuta uchumi hawawezi kama mme ni mkulima usubiri kuletewa msosi mzuri tu shambani na kupetiwa petiwa usiku na si mke kukusaidia kushika mpini alime ng'oo! Cjui wanatanga hili ni la kweli?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.