Habari zenu wanajukwaa.
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada.
Nilipata maambukizi ya GENITAL WARTS baada ya kwenda hospitalin nikapewa dawa aina ya podowarts 10ml, baada ya kutumia imeniunguza sana sehemu za siri na kupelekea ngozi ya juu kutoka.
Naomba msaada wa anayejua dawa ya kuondoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.