Recent content by mf

  1. M

    Unaishauri vipi serikali kuhusu hizi picha..

    Mimi binafsi nikiwa kama mzazi sijapendezwa na kitendo cha mtoto kubiya safari na mama yake kufurahia kuna vitu mtoto akifanya mzazi unasikia raha sio kubiya mapombe je unamfundisha nini huyo mtoto akiwa mlevi utachukia????
  2. M

    Unaishauri vipi serikali kuhusu hizi picha..

    Huu ni upuuzi mtupu mtoto mdogo kama huyo kupewa safari inahusu nini?? Huyo mama anafurahia anadhani ni jambo la maana sana hao ndio wanakuja kuwa aribikiwa maana "SAMAKI MKUNJE ANGALI MBICHI". Mimi nikiwa kama mzazi sijapendezwa na hiyo picha kabisa
Back
Top Bottom