Recent content by Mezya

  1. M

    JamiiForums Tanzania Nauza shamba kiwangwa

    Inategemea na eneo lenyewe hiyo bei unayosema nimenunua miaka mitatu iliyopita unaweza pata hata elfu hamsini kwa ekari yapo njia ya kwenda saadan national park
  2. M

    JamiiForums Tanzania Nauza shamba kiwangwa

    bei za maeneo ya kulima mananasi ndiyo hizo cha msingi wewe toa offer yako ili nione kama itafaa au la sababu biashara ni maelewano.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Nauza shamba kiwangwa

    Nauza shamba lenye ukubwa wa ekari 70 liko Kiwangwa kijiji cha Lugogo kila ekari ni Tshs 600,000/= maelewano yapo. Umbali wa Km 4 toka barabara ya lami Msatta - Dar, gari inafika hadi shambani Ni eneo zurikwa kilimo cha mananasi, mbaazi, n.k. Wasiliana nami 0682 110110
Back
Top Bottom