Recent content by mesuka

  1. M

    JamiiForums Tanzania Mtazamo na ushauri wangu kwa serikali juu ya usaili wa walimu

    Habari wadau, Kwanza nianze kwa kutafakari kwanini shule za serikali haziongozi kwenye matokeo, kubali kataa sababu ni hizi. 1. Miundombinu na vifaa vya kufundishia. 2. Ufuatiliaji wa wanafunzi na mienendo ya walimu. 3. Mchakato wa kuwapata walimu na kuwafuatilia kwa ukaribu. 4. Mishahara...
  2. M

    JamiiForums Tanzania TETESI: Mchakato wa Ajira za Ualimu kufanywa na TAMISEMI, utaratibu wa zamani kutumika

    Nakubaliana na wewe, serikali kama inatafuta walimu Bora ianzie kwenye matokeo ,wabadilishe vigezo vya kuwa mwalimu iwe kama unasomea rocket science, baada ya hapo hakuta kuwa na usaili kwa sababu walimu wanaomwagwa vyuo mtaani watakuwa wachache
  3. M

    JamiiForums Tanzania Kamwe sitawaruhusu wanangu wasome Ili waajiriwe, napenda wasome kwa ajili ya kukiajiri

    Ajira kwa Sasa ni sawa na tatumzuka, ni uzalilishaji mtupu, kusoma kwa kutegemea kuajiriwa kunaongeza ufukara kwa wasomi, shahada saivi ni sawa na Bure. Ni Bora mwanangu asomee kipaji chake na elimu ya pesa ambayo haifundishwi mashuleni.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Hongera Serikali kwa kusitisha usaili wa Walimu: Tunashauri utaratibu wa zamani utumike kwa kupangwa vituo na TAMISEMI

    Kazi ya ualimu ni ngumu kuliko unavyofikiria, kusoma kila wakati na huna ajira huu ni uchizi ni Bora nimalize chuo nisailiwe Kisha niende mtaani nikijua nimefaulu usaili kuliko Niko mtaani majukumu ni mengi eti nianze kusoma kwaajili ya usaili Tena bila mshahara inauma sana. Mtaani Kuna fursa...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Hongera Serikali kwa kusitisha usaili wa Walimu: Tunashauri utaratibu wa zamani utumike kwa kupangwa vituo na TAMISEMI

    Usaili sio kitu kibaya ila wanasaili watatajirika sana mkubali mkatae, usaili ni kama mpira wa penati , kukosa goli haimaanishi wewe sio Bora. USHAURI WANGU Kupata mwalimu Bora ni kumpima darasani Na matokeo ya wanafunzi akishindwa kwa mda Fulani uliopangwa anaondolewa hii Bora zaidi kuliko...
Back
Top Bottom