Recent content by mercy k

  1. M

    Nauza kisamvu

    Halafu pilipili yenyewe haijakatwa ni nzima kabisa kama hutumii unaweka kando ila ndo changamoto za biashara lazima nikumbane nazo tu sio mtu wa kwanza kunipa changamoto wapo wengi mno tena wana majibu ya shombo ila basi tu unakua mpole mm najua nafanya nn maana mteja hupaswi kumpa lugha chafu
  2. M

    Nauza kisamvu

    Asante dear
  3. M

    Nauza kisamvu

    3000
  4. M

    Nauza kisamvu

    Halafu pilipili yenyewe haijakatwa ni nzima kabisa kama hutumii unaweka kando ila ndo changamoto za biashara lazima nikumbane nazo tu sio mtu wa kwanza kunipa changamoto wapo wengi mno tena wana majibu ya shombo ila basi tu unakua mpole mm najua nafanya nn maana mteja hupaswi kumpa lugha chafu
  5. M

    Nauza mashuka na foronya zake

    Hapana dear umeangalia vibaya
  6. M

    Nauza mashuka na foronya zake

    Asante karibu uniunge mkono yapo mengi tu
  7. M

    Nauza mashuka na foronya zake

    Habari zenu, Nauza mashuka ya mtumba ni mazuri mno. Kwa Tsh 20,000 unapata shuka moja na foronya zake mbili, pia kwa jumla ni Tshs 15,000 kuanzia shuka 5 karibu sana. Mawasiliano: 0783358788
  8. M

    Nauza kisamvu

    Karibuni kisamvu ni kilaini, kizuri na kitamu. Napatikana dar, mbezi beach 0783358788
  9. M

    Nauza kisamvu

    Karibuni kisamvu ni kilaini, kizuri na kitamu. Napatikana dar, mbezi beach 0783358788
Back
Top Bottom