Halafu pilipili yenyewe haijakatwa ni nzima kabisa kama hutumii unaweka kando ila ndo changamoto za biashara lazima nikumbane nazo tu sio mtu wa kwanza kunipa changamoto wapo wengi mno tena wana majibu ya shombo ila basi tu unakua mpole mm najua nafanya nn maana mteja hupaswi kumpa lugha chafu
Halafu pilipili yenyewe haijakatwa ni nzima kabisa kama hutumii unaweka kando ila ndo changamoto za biashara lazima nikumbane nazo tu sio mtu wa kwanza kunipa changamoto wapo wengi mno tena wana majibu ya shombo ila basi tu unakua mpole mm najua nafanya nn maana mteja hupaswi kumpa lugha chafu
Habari zenu,
Nauza mashuka ya mtumba ni mazuri mno. Kwa Tsh 20,000 unapata shuka moja na foronya zake mbili, pia kwa jumla ni Tshs 15,000 kuanzia shuka 5 karibu sana.
Mawasiliano: 0783358788
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.