Sadolioki kama huna data usichangie mada. In short hakuna mfanyakazi ambae amewahi kuchangia huu mfuko. Wamekuja hapa JamiiForum kutafuta msaada ambao hakuna wakuwasaidia sababu wamechemka kote kuanzia RITA na vyombo vingine vya sheria sababu hawana evidence. Sana sana mnaojiita wanasheria...
Issue sio kuhusika kula ama lah! Let’s be fair guys tusichangie mada ambayo mtoa mada hajawa wazi kuhusu uhalali wa hao wanaodai kumiliki share za TBL! Sioni tija kwa hao wanaodai wanadhulumiwa kuja mitandaoni kumuomba Mkurugenzi wa TAKUKURU kuwasaidia wakati kuna vyombo vya sheria ambavyo...
Sasa naanza kuelewa kwani ni Yuda alimuuza Yesu kwa vipande vya fedha ilihali Yesu alionyesha kila muujiza ambao haukuwa na thamani ya kitu chochote kile! Pesa mwanaharamu [emoji23]
Bila shaka mtoa mada ni miongoni mwa former employees wa TBL ambao ama ni wastaafu, waliopunguzwa au kufukuzwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.