Recent content by Melany

  1. M

    Nina shahada ya Ugavi, natafuta kazi, nipo Zanzibar

    Habari wakuu, mimi naishi Zanzibar nina shahada ya manunuzi na ugavi (procurement and supply) natafuta kazi huku huku zanzibar kwasababu nina familia inayonitegemea hivyo kwa yeyote mwenye nafasi ya ajira tafadhali tuwasiliane
Back
Top Bottom