Recent content by MegamindTesha

  1. M

    Naishi Arusha nataka kulima Tanga, naomba ushauri

    Kilapura,machemba ndio shamba lilipo. Mto mkurumuzi umepita karibu na shamba lkn maji yake ni ya msimu
  2. M

    Naishi Arusha nataka kulima Tanga, naomba ushauri

    Nina shamba la familia wilaya ya muheza, kilapura, Tanga. Ni shamba lenye ukubwa wa ekari 8. Mimi nafanya kazi Arusha, hilo ndo jambo kubwa linalonipa mashaka katika usimamizi. Japo naweza pata muda wa kutembelea shamba mara moja au mbili kwa mwezi
Back
Top Bottom