SIFA ZA MWANAMKE (SIFA NJEMA)
1. Awe mwema
2. Mwenye hekima
3. Mwenye adabu
4. Mwenye busara
5. Awe mkarimu
6. Msafi (mwili na nyumba)
7. Mpole
8. Mwenye huruma
9. Mdadisi
10. Mvumilivu
11. Mcheshi (kiasi)Yampasa mke aanze siku kwa kauli nzuri hata kama anaumwa:-- Amsalimie mume
- Amwage...
Maon na maswali yenu staweza kujibu kwa kirefu maana muda ninao mchache ,
Japo
Threed zitashuka kama kawaida kila cku.
Changia uwezavyo tujifunze wote.
Asanten .
Ucku mwm
Unakuta mwanamke,
1. Kucha sio zake.
2. Nywele sio zake.
3. Kope sio zake.
4. Midomo sio rangi yake.
5 Ngozi sio ile Halisi ya Kwake.
6. Wengine makalio sio yake .
7. Maziwa, sio yale yake halisi.
8. Hata matokeo tu ya shule kalala na mwalimu yakabadilishwa. Sasa msikilize maneno...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.