Huyo atakua na tatizo linaitwa Neuropathies. matibabu yake ni kumpa dawa za Neurosupport kama vile Neuroton n.k lakini pia ni vizuri akafanyiwa checkup ya magonjwa mengine kama vile syphilis n.k kwani pia husababisha
Mimi ni medical student na pia ni muathirika was tatizo hilo. Nilianzwa na tatizo hilo nikiwa kidato cha kwanza mwaka 2005 na ilikua sababu kubwa ilionipelekea kupata hamu ya kusoma udaktari kwan nilihangaika vya kutosha.
Tatizo hilo linaitwa urticaria linaweza kua acute or chronic na...
Mimi natokea eneo jiran kabisa na jimbo analoongoza January Makamba..Jimbo lake lenyewe watu ni masikini wa kutupa, barabara mbovu kila kitu ni cha mwisho hlf anataka urais duh kazi kweli.. Ameshindwa kuwakomboa watu wa Bumbuli Tanga jimboni kwake eneo dogo kabisa ndo ataiweza tanzania.??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.