Recent content by Meamy

  1. Meamy

    Ushauri: Mawazo ya biashara kwa mtaji wa Tsh. Milioni 2

    Mkuu sijasema nachagua Kaz ila nilikuja kupata mawazo kwa wazoefu nipe mawazo mkuu
  2. Meamy

    Ushauri: Mawazo ya biashara kwa mtaji wa Tsh. Milioni 2

    Million 2 inaweza kuzalisha 800k simply every month?
  3. Meamy

    Ushauri: Mawazo ya biashara kwa mtaji wa Tsh. Milioni 2

    Nilitegemea ushaur kama uh[emoji1787]
  4. Meamy

    Ushauri: Mawazo ya biashara kwa mtaji wa Tsh. Milioni 2

    Kilimo kinaendeshwa ata Nikiwa mbal wasimamiz wapo
  5. Meamy

    Ushauri: Mawazo ya biashara kwa mtaji wa Tsh. Milioni 2

    Ndio mkuuu nais hii biashara ya uwakala wa Pesa itafaa maana kidogo Ina risk ndogo kwa Sasa
  6. Meamy

    Ushauri: Mawazo ya biashara kwa mtaji wa Tsh. Milioni 2

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  7. Meamy

    Ushauri: Mawazo ya biashara kwa mtaji wa Tsh. Milioni 2

    Mtu wa kati kwenye kilimo niliiwaza pia ila kwa Sasa nmechelewa labda msimu ujao mazao yamepanda na unajua naweza kununua sahizi kufika sokoni unakuta yameshuka bei tena
  8. Meamy

    Ushauri: Mawazo ya biashara kwa mtaji wa Tsh. Milioni 2

    Inatakiwa kuwa na Kaz Inayoweza kuzalisha Pesa ya kujikim maana nkisema nianze saiz ad kuanza kupata maazao yake ni kuanzia miez minne na kukaaa nyumban kusibil miez minne ntakukuta nikiangukia mule mule kuwa tegemez mpango wa Maswala ya nyuki nnao ila natafta kitu cha kuniwezesha kujikim
  9. Meamy

    Ushauri: Mawazo ya biashara kwa mtaji wa Tsh. Milioni 2

    Kilimo hakitabiriki siku hizi mkuu
  10. Meamy

    Ushauri: Mawazo ya biashara kwa mtaji wa Tsh. Milioni 2

    Funguka kwa uwaz mkuu electronic za aina ip
Back
Top Bottom