Mtu wa kati kwenye kilimo niliiwaza pia ila kwa Sasa nmechelewa labda msimu ujao mazao yamepanda na unajua naweza kununua sahizi kufika sokoni unakuta yameshuka bei tena
Inatakiwa kuwa na Kaz Inayoweza kuzalisha Pesa ya kujikim maana nkisema nianze saiz ad kuanza kupata maazao yake ni kuanzia miez minne na kukaaa nyumban kusibil miez minne ntakukuta nikiangukia mule mule kuwa tegemez mpango wa Maswala ya nyuki nnao ila natafta kitu cha kuniwezesha kujikim
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.