Recent content by Mdoe Justine

  1. M

    Tabata Kimanga hakuna mtandao wa TTCL

    Nami ni mkazi wa Kimanga majichumvi,,,,natumia TTCL siipati hiyo shida ya mtandao na ninaangalia movie kila siku kwenye App yao ya T-burudani bila shida yoyote......hebu jaribu kuchek upya settings za simu yako.
Back
Top Bottom