Recent content by mdau magaka

  1. M

    JamiiForums Tanzania Je, Ni sahihi mtaa mkubwa kuongozwa na mwenyekiti mmoja?

    Mpaka lini utakuwa tayari kuwa hewani
  2. M

    JamiiForums Tanzania Je, Ni sahihi mtaa mkubwa kuongozwa na mwenyekiti mmoja?

    Mbona sioni kero yangu niyoiwasilisha inafanyiwa kazi..
  3. M

    JamiiForums Tanzania Je, Ni sahihi mtaa mkubwa kuongozwa na mwenyekiti mmoja?

    Kero:Mtaa magaka,kata ya kahama-ilemela.Mtaa wa magaka ni mkubwa lakini unaongozwa na mwenyekiti mmoja kutokana ukubwa wa eneo baadhi ya huduma muhimu zinakuwa mbali na makazi. Kuna changamoto ya Barabara,shule kuwa mbali,usalama na baadhi ya mahitaji ya msingi kiasi kwamba wakazi hulazimika...
  4. M

    JamiiForums Tanzania KERO Wakazi wa mtaa wa Magaka tunalalamikia changamoto za ukubwa wa eneo na upatikanaji wa huduma

    Wakazi wa Mtaa wa Magaka, Kata ya Kahama – Ilemela, wanaomba mamlaka husika kuangalia upya ukubwa wa mtaa huo kutokana na changamoto zinazotokana na eneo kuwa kubwa huku likiongozwa na Mwenyekiti mmoja. Kutokana na ukubwa wa mtaa, baadhi ya huduma muhimu zimekuwa mbali na makazi ya wananchi...
Back
Top Bottom