Kweli Balozi VC ni mpole sana, na upole wake ndo unaomponza.
Huyu muEthiopia aliwahi kumdharirisha Professor mmoja akaenda Immigration kuhoji juu yake, wakamwambia office ya Immigration Tanzania wanazo kesi zake nyingi za kudharirisha wafanyakazi wa SAUT walipoanza fuatilia undani, Balozi Mpole...
Sijui watanzania tumerogwa na nani tu. Wewe u mmoja kati ya walamba makalio ya muethiopia, na ndiyo maana unaropoka hayo.
Tena umechochea moto kwa kuongeza petrol. Wengine hatukuwa na muda wa kupambana na huu uzandiki unaonendelea hapa SAUT maana kwa umri wangu 27yrs nipo busy kusaka ajira...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.