kiukweli ifikie mahala busara itumike kwani sijaona sababu ya uyo mtoto kufikishwa kizimbani na wajaribu kufikiria kuwa uyo ni mtoto na wala hakuwa na dhamira ya kufanya ivo na kwa kufanya ivo watasababisha tanzania yetu iwe secular state na itakuwa inaunganisha state na religion
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.