Recent content by mdada mpole

  1. mdada mpole

    Mtoto aliyekojolea msaafu kortini...

    kiukweli ifikie mahala busara itumike kwani sijaona sababu ya uyo mtoto kufikishwa kizimbani na wajaribu kufikiria kuwa uyo ni mtoto na wala hakuwa na dhamira ya kufanya ivo na kwa kufanya ivo watasababisha tanzania yetu iwe secular state na itakuwa inaunganisha state na religion
Back
Top Bottom