Nimefatilia hii thread kwa makini sana, na bila ushabiki nimegundua wanaopinga sera ya elimu ya Mh.Lowasa wote wamechangia uzi huu kwa point za kijinga sanaaaa na waliochangia kuunga mkono hii sera ya elimu wametoa strong points. .Kweli Tanzania elimu inahitajika
You shall see ndugu.tushachokaa.hata sisi tuliopo jf tunawakilishA wengi mno na tunaendelea kuwaeleza ndugu jamaa na marafiki katika familia zetu, kaya, mitaa, kata n.k kuwa sisiemu haifaiiiii
Sometime " you gat to do what you have to do" . .kama CCM wanafanya kufuru katika ufisadi, ni bora kuwatosa hata kwenye shughuli za kijamii , ili wajue Tanzania tumeamkaa!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.